Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Nehemia 13:30 - Swahili Revised Union Version

30 Hivyo nikawatakasa na kila kitu kigeni, nami nikawawekea zamu makuhani na Walawi, kila mtu kazini mwake;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 Niliwatakasa watu kutokana na chochote kilichokuwa cha kigeni. Nikatayarisha mwongozo kwa ajili ya makuhani na Walawi kuhusu kazi ya kila mmoja wao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 Niliwatakasa watu kutokana na chochote kilichokuwa cha kigeni. Nikatayarisha mwongozo kwa ajili ya makuhani na Walawi kuhusu kazi ya kila mmoja wao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 Niliwatakasa watu kutokana na chochote kilichokuwa cha kigeni. Nikatayarisha mwongozo kwa ajili ya makuhani na Walawi kuhusu kazi ya kila mmoja wao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 Kwa hiyo niliwatakasa makuhani na Walawi kutokana na chochote kilichokuwa cha kigeni, na kuwapa wajibu, kila mmoja katika kazi yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 Kwa hiyo niliwatakasa makuhani na Walawi kutokana na chochote kilichokuwa cha kigeni, na kuwapa wajibu, kila mmoja katika kazi yake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

30 Hivyo nikawatakasa na kila kitu kigeni, nami nikawawekea zamu makuhani na Walawi, kila mtu kazini mwake;

Tazama sura Nakili




Nehemia 13:30
5 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini sisi, BWANA ndiye Mungu wetu, wala sisi hatukumwacha; tena tunao makuhani wanaomtumikia BWANA, wana wa Haruni, na Walawi, kwa kazi yao;


wala tusiwaoze watu wa nchi binti zetu, wala kuwatwalia wana wetu binti zao;


Makuhani na Walawi wakajitakasa, nao wakawatakasa watu, na malango, na ukuta.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo