Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Nehemia 12:30 - Swahili Revised Union Version

30 Makuhani na Walawi wakajitakasa, nao wakawatakasa watu, na malango, na ukuta.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 Makuhani na Walawi walijitakasa, pia waliwatakasa watu, malango na ukuta.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 Makuhani na Walawi walijitakasa, pia waliwatakasa watu, malango na ukuta.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 Makuhani na Walawi walijitakasa, pia waliwatakasa watu, malango na ukuta.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 Makuhani na Walawi walipokuwa wamekwisha kujitakasa kulingana na desturi, waliwatakasa watu, malango na ukuta.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 Wakati makuhani na Walawi walipokuwa wamekwisha kujitakasa kwa kufuatana na desturi, waliwatakasa watu, malango na ukuta.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

30 Makuhani na Walawi wakajitakasa, nao wakawatakasa watu, na malango, na ukuta.

Tazama sura Nakili




Nehemia 12:30
14 Marejeleo ya Msalaba  

Yakobo akawaambia watu wa nyumbani mwake, na wote waliokuwa pamoja naye, Ondoeni miungu migeni iliyoko kwenu, mjisafishe mkabadili nguo zenu.


Basi makuhani na Walawi wakajitakasa, ili wapate kulipandisha sanduku la BWANA, Mungu wa Israeli.


Lakini makuhani walikuwa wachache, wasiweze kuchuna sadaka zote za kuteketezwa; basi ndugu zao Walawi wakawasaidia, hadi kazi ilipokwisha na hadi makuhani walipojitakasa; kwa kuwa Walawi walikuwa wenye mioyo ya adili kwa kujitakasa kuliko makuhani.


akawaambia, Nisikieni, enyi Walawi; jitakaseni nafsi zenu sasa, mkaitakase na nyumba ya BWANA, Mungu wa baba zenu, mkautoe uchafu katika patakatifu.


Wana wa Israeli wakaila, wale waliorudi kutoka nchi ya uhamisho wao, na watu wote ambao pamoja nao wamejitenga na uchafu wa taifa za nchi, ili kumtaka BWANA, Mungu wa Israeli,


tena kutoka Beth-gilgali, na toka mashamba ya Geba na Azmawethi; kwa maana waimbaji hao walikuwa wamejijengea vijiji katika viunga vya Yerusalemu.


Kisha nikawaamuru Walawi wajitakase, nao waje kuyalinda malango, ili kuitakasa siku ya sabato. Unikumbukie hayo nayo, Ee Mungu wangu, ukaniachilie sawasawa na wingi wa rehema zako.


Hivyo nikawatakasa na kila kitu kigeni, nami nikawawekea zamu makuhani na Walawi, kila mtu kazini mwake;


Basi ilikuwa, hapo hizo siku za karamu zao zilipokuwa zimetimia, Ayubu hutuma kwao akawatakasa, kisha akaamka asubuhi na mapema, na kusongeza sadaka za kuteketezwa kama hesabu yao wote ilivyokuwa; kwani Ayubu alisema, Pengine hawa wanangu wamefanya dhambi, na kumkufuru Mungu mioyoni mwao. Ndivyo alivyofanya Ayubu sikuzote.


BWANA akamwambia Musa, Nenda kwa watu hawa, ukawatakase leo na kesho, wakazifue nguo zao,


Akawaambia watu; Muwe tayari siku ya tatu; msimkaribie mwanamke.


Maana kila kuhani mkuu aliyetwaliwa katika wanadamu amewekwa kwa ajili ya wanadamu katika mambo yanayomhusu Mungu, ili atoe matoleo na dhabihu kwa ajili ya dhambi;


na kwa sababu hiyo imempasa, kama kwa ajili ya watu, vivyo hivyo kwa ajili ya nafsi yake mwenyewe, kutoa dhabihu kwa ajili ya dhambi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo