Nehemia 12:30 - Swahili Revised Union Version30 Makuhani na Walawi wakajitakasa, nao wakawatakasa watu, na malango, na ukuta. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema30 Makuhani na Walawi walijitakasa, pia waliwatakasa watu, malango na ukuta. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND30 Makuhani na Walawi walijitakasa, pia waliwatakasa watu, malango na ukuta. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza30 Makuhani na Walawi walijitakasa, pia waliwatakasa watu, malango na ukuta. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu30 Makuhani na Walawi walipokuwa wamekwisha kujitakasa kulingana na desturi, waliwatakasa watu, malango na ukuta. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu30 Wakati makuhani na Walawi walipokuwa wamekwisha kujitakasa kwa kufuatana na desturi, waliwatakasa watu, malango na ukuta. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI30 Makuhani na Walawi wakajitakasa, nao wakawatakasa watu, na malango, na ukuta. Tazama sura |
Basi ilikuwa, hapo hizo siku za karamu zao zilipokuwa zimetimia, Ayubu hutuma kwao akawatakasa, kisha akaamka asubuhi na mapema, na kusongeza sadaka za kuteketezwa kama hesabu yao wote ilivyokuwa; kwani Ayubu alisema, Pengine hawa wanangu wamefanya dhambi, na kumkufuru Mungu mioyoni mwao. Ndivyo alivyofanya Ayubu sikuzote.