Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Nehemia 11:35 - Swahili Revised Union Version

Lodi, na Ono, lililokuwa bonde la mafundi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lodi na Ono lililokuwa Bonde la Mafundi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lodi na Ono lililokuwa Bonde la Mafundi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lodi na Ono lililokuwa Bonde la Mafundi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

katika Lodi na Ono, na katika Bonde la Mafundi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

katika Lodi na Ono, na katika Bonde la Mafundi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lodi, na Ono, lililokuwa bonde la mafundi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Nehemia 11:35
8 Marejeleo ya Msalaba  

Na Meonothai akamzaa Ofra; na Seraya akamzaa Yoabu, babaye Ge-harashimu; kwani hao walikuwa mafundi stadi.


Na wana wa Elpaali; Eberi, na Mishamu, na Shemedi, ambaye ndiye aliyejenga Ono na Lodi, pamoja na vijiji vyake;


Hadidi, Seboimu, Nebalati;


Na wa Walawi, wengine walikaa katika Yuda na wengine katika Benyamini.


Sanbalati na Geshemu wakatuma wajumbe kwangu, wakasema, Njoo, tukutane huko vijijini katika nchi tambarare ya Ono. Lakini wakakusudia kunifanyia mabaya.


Wana wa Lodi, na Hadidi, na Ono, mia saba ishirini na mmoja.


Wakati Petro alipokuwa akizungukazunguka pande zote akawateremkia na watakatifu waliokaa Lida.


Na watu wote waliokaa Lida na Sharoni wakamwona, wakamgeukia Bwana.