Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Nehemia 11:35 - Swahili Revised Union Version

35 Lodi, na Ono, lililokuwa bonde la mafundi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

35 Lodi na Ono lililokuwa Bonde la Mafundi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

35 Lodi na Ono lililokuwa Bonde la Mafundi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

35 Lodi na Ono lililokuwa Bonde la Mafundi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

35 katika Lodi na Ono, na katika Bonde la Mafundi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

35 katika Lodi na Ono, na katika Bonde la Mafundi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

35 Lodi, na Ono, lililokuwa bonde la mafundi.

Tazama sura Nakili




Nehemia 11:35
8 Marejeleo ya Msalaba  

Na Meonothai akamzaa Ofra; na Seraya akamzaa Yoabu, babaye Ge-harashimu; kwani hao walikuwa mafundi stadi.


Na wana wa Elpaali; Eberi, na Mishamu, na Shemedi, ambaye ndiye aliyejenga Ono na Lodi, pamoja na vijiji vyake;


Hadidi, Seboimu, Nebalati;


Na wa Walawi, wengine walikaa katika Yuda na wengine katika Benyamini.


Sanbalati na Geshemu wakatuma wajumbe kwangu, wakasema, Njoo, tukutane huko vijijini katika nchi tambarare ya Ono. Lakini wakakusudia kunifanyia mabaya.


Wana wa Lodi, na Hadidi, na Ono, mia saba ishirini na mmoja.


Wakati Petro alipokuwa akizungukazunguka pande zote akawateremkia na watakatifu waliokaa Lida.


Na watu wote waliokaa Lida na Sharoni wakamwona, wakamgeukia Bwana.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo