Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 9:29 - Swahili Revised Union Version

Siku zote za Nuhu zilikuwa miaka mia tisa na hamsini, akafa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

kisha akafariki akiwa na umri wa miaka 950.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

kisha akafariki akiwa na umri wa miaka 950.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

kisha akafariki akiwa na umri wa miaka 950.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nuhu aliishi jumla ya miaka mia tisa na hamsini, ndipo akafa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nuhu alikuwa na jumla ya miaka 950, ndipo akafa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Siku zote za Nuhu zilikuwa miaka mia tisa na hamsini, akafa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 9:29
8 Marejeleo ya Msalaba  

Hivi ndivyo vizazi vya wana wa Nuhu, Shemu, na Hamu, na Yafethi. Na kwao walizaliwa wana wa kiume baada ya gharika.


Siku zote za Yaredi ni miaka mia tisa na sitini na miwili, akafa.


Siku zote za Methusela ni miaka mia tisa na sitini na tisa, akafa.


Baada ya Nuhu kufikisha umri wa miaka mia tano, aliwazaa Shemu, na Hamu, na Yafethi.


Siku zote za Adamu alizoishi ni miaka mia tisa na thelathini, naye akafa.


Na Nuhu akaishi baada ya ile gharika miaka mia tatu na hamsini.


Miaka ya maisha yetu ni sabini, Na ikiwa tuna nguvu miaka themanini; Tena kiburi chake ni taabu na ubatili, Maana wakati unapita upesi nasi kutokomea punde.