Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 9:29 - Swahili Revised Union Version

29 Siku zote za Nuhu zilikuwa miaka mia tisa na hamsini, akafa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

29 kisha akafariki akiwa na umri wa miaka 950.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

29 kisha akafariki akiwa na umri wa miaka 950.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

29 kisha akafariki akiwa na umri wa miaka 950.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

29 Nuhu aliishi jumla ya miaka mia tisa na hamsini, ndipo akafa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

29 Nuhu alikuwa na jumla ya miaka 950, ndipo akafa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

29 Siku zote za Nuhu zilikuwa miaka mia tisa na hamsini, akafa.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 9:29
8 Marejeleo ya Msalaba  

Hivi ndivyo vizazi vya wana wa Nuhu, Shemu, na Hamu, na Yafethi. Na kwao walizaliwa wana wa kiume baada ya gharika.


Siku zote za Yaredi ni miaka mia tisa na sitini na miwili, akafa.


Siku zote za Methusela ni miaka mia tisa na sitini na tisa, akafa.


Baada ya Nuhu kufikisha umri wa miaka mia tano, aliwazaa Shemu, na Hamu, na Yafethi.


Siku zote za Adamu alizoishi ni miaka mia tisa na thelathini, naye akafa.


Na Nuhu akaishi baada ya ile gharika miaka mia tatu na hamsini.


Miaka ya maisha yetu ni sabini, Na ikiwa tuna nguvu miaka themanini; Tena kiburi chake ni taabu na ubatili, Maana wakati unapita upesi nasi kutokomea punde.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo