Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 8:4 - Swahili Revised Union Version

Mwezi wa saba, siku ya kumi na saba ya mwezi, safina ikatua juu ya milima ya Ararati.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mnamo siku ya kumi na saba ya mwezi wa saba, safina ikatua juu ya milima ya Ararati.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mnamo siku ya kumi na saba ya mwezi wa saba, safina ikatua juu ya milima ya Ararati.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mnamo siku ya kumi na saba ya mwezi wa saba, safina ikatua juu ya milima ya Ararati.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Na katika siku ya kumi na saba ya mwezi wa saba, safina ikatua katika milima ya Ararati.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

katika siku ya kumi na saba ya mwezi wa saba, safina ikatua katika milima ya Ararati.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mwezi wa saba, siku ya kumi na saba ya mwezi, safina ikatua juu ya milima ya Ararati.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 8:4
6 Marejeleo ya Msalaba  

Maji yakaongezeka hata milima ikafunikwa kiasi cha dhiraa kumi na tano.


Maji yakapungukapunguka hata mwezi wa kumi; mwezi huo wa kumi, siku ya kwanza ya mwezi, vilele vya milima vikaonekana.


Ikawa, alipokuwa akiabudu nyumbani mwa Nisroki, mungu wake, Adrameleki na Shareza wakampiga kwa upanga; wakaikimbilia nchi ya Ararati. Na Esar-hadoni mwanawe akatawala mahali pake.


Ikawa alipokuwa akiabudu katika nyumba ya Nisroki, mungu wake, Adrameleki na Shareza, wanawe, wakampiga kwa upanga; wakakimbilia nchi ya Ararati; naye Esar-hadoni, mwanawe, akatawala baada yake.


Itwekeni bendera katika nchi, pigeni tarumbeta kati ya mataifa, yawekeni mataifa tayari juu yake; ziiteni juu yake falme za Ararati, na Mini, na Ashkenazi; agizeni jemadari juu yake; wapandisheni farasi, kama tunutu.