Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 8:4 - Swahili Revised Union Version

4 Mwezi wa saba, siku ya kumi na saba ya mwezi, safina ikatua juu ya milima ya Ararati.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Mnamo siku ya kumi na saba ya mwezi wa saba, safina ikatua juu ya milima ya Ararati.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Mnamo siku ya kumi na saba ya mwezi wa saba, safina ikatua juu ya milima ya Ararati.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Mnamo siku ya kumi na saba ya mwezi wa saba, safina ikatua juu ya milima ya Ararati.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Na katika siku ya kumi na saba ya mwezi wa saba, safina ikatua katika milima ya Ararati.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 katika siku ya kumi na saba ya mwezi wa saba, safina ikatua katika milima ya Ararati.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 Mwezi wa saba, siku ya kumi na saba ya mwezi, safina ikatua juu ya milima ya Ararati.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 8:4
6 Marejeleo ya Msalaba  

Maji yakaongezeka hata milima ikafunikwa kiasi cha dhiraa kumi na tano.


Maji yakapungukapunguka hata mwezi wa kumi; mwezi huo wa kumi, siku ya kwanza ya mwezi, vilele vya milima vikaonekana.


Ikawa, alipokuwa akiabudu nyumbani mwa Nisroki, mungu wake, Adrameleki na Shareza wakampiga kwa upanga; wakaikimbilia nchi ya Ararati. Na Esar-hadoni mwanawe akatawala mahali pake.


Ikawa alipokuwa akiabudu katika nyumba ya Nisroki, mungu wake, Adrameleki na Shareza, wanawe, wakampiga kwa upanga; wakakimbilia nchi ya Ararati; naye Esar-hadoni, mwanawe, akatawala baada yake.


Itwekeni bendera katika nchi, pigeni tarumbeta kati ya mataifa, yawekeni mataifa tayari juu yake; ziiteni juu yake falme za Ararati, na Mini, na Ashkenazi; agizeni jemadari juu yake; wapandisheni farasi, kama tunutu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo