Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 7:20 - Swahili Revised Union Version

Maji yakaongezeka hata milima ikafunikwa kiasi cha dhiraa kumi na tano.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yaliongezeka hata kuifunika milima kiasi cha mita saba na nusu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yaliongezeka hata kuifunika milima kiasi cha mita saba na nusu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yaliongezeka hata kuifunika milima kiasi cha mita saba na nusu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Maji yakaendelea kujaa, yakaifunika milima kwa kina cha zaidi ya dhiraa kumi na tano.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Maji yakaendelea kujaa yakaifunika milima kwa kina cha zaidi ya dhiraa kumi na tano.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maji yakaongezeka hata milima ikafunikwa kiasi cha dhiraa kumi na tano.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 7:20
5 Marejeleo ya Msalaba  

Hivi ndivyo utakavyoifanya; dhiraa mia tatu urefu wa safina, dhiraa hamsini upana wake, na dhiraa thelathini kwenda juu.


Maji yakazidi kuongezeka sana sana juu ya nchi; hata milima mirefu yote iliyokuwako chini ya mbingu ikafunikwa.


Mwezi wa saba, siku ya kumi na saba ya mwezi, safina ikatua juu ya milima ya Ararati.


Uliifunika kwa vilindi kama kwa vazi, Maji yalikuwa yakisimama juu ya milima.


Ni kweli, msaada haufai unaotazamiwa kutoka milimani, makutano yenye mshindo juu ya milima; ni kweli, wokovu wa Israeli ni katika BWANA, Mungu wetu.