Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 7:12 - Swahili Revised Union Version

Mvua ikanyesha juu ya nchi, siku arubaini mchana na usiku.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mvua ikanyesha nchini siku arubaini mchana na usiku.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mvua ikanyesha nchini siku arubaini mchana na usiku.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mvua ikanyesha nchini siku arubaini mchana na usiku.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mvua ikanyesha juu ya dunia siku arobaini usiku na mchana.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mvua ikanyesha juu ya nchi siku arobaini usiku na mchana.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mvua ikanyesha juu ya nchi, siku arobaini mchana na usiku.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 7:12
10 Marejeleo ya Msalaba  

Ile gharika ilikuwako juu ya nchi siku arubaini; nayo maji yakazidi, yakaifanya safina ielee, ikaelea juu ya nchi.


Kwa maana baada ya siku saba nitainyeshea dunia mvua, siku arubaini mchana na usiku; na kila kilicho hai nilichokifanya juu ya uso wa nchi nitakifutilia mbali.


chemchemi za vilindi zikafungwa, pia na madirisha ya mbinguni, mvua kutoka mbinguni ikazuiliwa;


Akainuka, akala, akanywa, akaenda katika nguvu za chakula hicho siku arubaini mchana na usiku hata akafika Horebu, mlima wa Mungu.


Musa akaingia ndani ya lile wingu, akapanda mlimani; Musa akawa humo katika ule mlima siku arubaini, mchana na usiku.


Akafunga siku arubaini mchana na usiku, mwishowe akaona njaa.


Nikakaa mle mlimani kama hapo kwanza, siku arubaini usiku na mchana; BWANA akanisikiza wakati huo nao; BWANA asitake kukuangamiza.


Nikaanguka chini mbele za BWANA siku arubaini usiku na mchana, kama pale kwanza; sikula chakula wala kunywa maji; kwa sababu ya makosa yenu yote mliyofanya, kwa kufanya yaliyo maovu machoni pa BWANA, kwa kumkasirisha.


Na hapo nilipokwea mlimani kwenda kuzipokea mbao za mawe, nazo ni mbao za agano BWANA alilofanya nanyi, ndipo nikakaa mle mlimani siku arubaini usiku na mchana; sikula chakula wala kunywa maji.


kwa hayo dunia ile ya wakati ule iligharikishwa na maji, ikaangamia.