Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 4:2 - Swahili Revised Union Version

2 Akafunga siku arubaini mchana na usiku, mwishowe akaona njaa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Akafunga siku arubaini mchana na usiku, na mwishowe akaona njaa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Akafunga siku arubaini mchana na usiku, na mwishowe akaona njaa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Akafunga siku arubaini mchana na usiku, na mwishowe akaona njaa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Baada ya kufunga siku arobaini usiku na mchana, hatimaye akaona njaa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Baada ya kufunga siku arobaini usiku na mchana, hatimaye akaona njaa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

2 Akafunga siku arobaini mchana na usiku, mwishowe akaona njaa.

Tazama sura Nakili




Mathayo 4:2
14 Marejeleo ya Msalaba  

Akainuka, akala, akanywa, akaenda katika nguvu za chakula hicho siku arubaini mchana na usiku hata akafika Horebu, mlima wa Mungu.


Musa akaingia ndani ya lile wingu, akapanda mlimani; Musa akawa humo katika ule mlima siku arubaini, mchana na usiku.


Naye alikuwa huko pamoja na BWANA siku arubaini na masiku yake; hakula chakula, wala hakunywa maji. Naye akaandika katika hizo mbao, hayo maneno ya maagano, hizo amri kumi.


Na asubuhi alipokuwa akienda mjini, aliona njaa.


kwa maana nilikuwa na njaa, mkanipa chakula; nilikuwa na kiu, mkaninywesha; nilikuwa mgeni, mkanikaribisha;


kwa maana nilikuwa na njaa, msinipe chakula; nilikuwa na kiu, msininyweshe;


Siku iliyofuata walipokuwa wakitoka Bethania, aliona njaa.


akijaribiwa na Ibilisi. Na siku hizo alikuwa hali kitu; na zilipotimia, aliona njaa.


Na hapo palikuwa na kisima cha Yakobo. Basi Yesu, kwa sababu amechoka kwa safari yake, akaketi vivi hivi kisimani. Nayo ilikuwa yapata saa sita.


Mimi niwaiwanulia nabii miongoni mwa ndugu zao mfano wako wewe, nami nitatia maneno yangu kinywani mwake, naye atawaambia yote nitakayomwamuru.


Nikaanguka chini mbele za BWANA siku arubaini usiku na mchana, kama pale kwanza; sikula chakula wala kunywa maji; kwa sababu ya makosa yenu yote mliyofanya, kwa kufanya yaliyo maovu machoni pa BWANA, kwa kumkasirisha.


Ndipo nikaanguka chini mbele za BWANA siku zile arubaini usiku na mchana nilizokuwa nimeanguka chini; kwa kuwa BWANA alisema atawaangamiza.


Na hapo nilipokwea mlimani kwenda kuzipokea mbao za mawe, nazo ni mbao za agano BWANA alilofanya nanyi, ndipo nikakaa mle mlimani siku arubaini usiku na mchana; sikula chakula wala kunywa maji.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo