Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 36:3 - Swahili Revised Union Version

na Basemathi, binti Ishmaeli, nduguye Nebayothi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

na Basemathi, binti Ishmaeli, dada yake Nebayothi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

na Basemathi, binti Ishmaeli, dada yake Nebayothi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

na Basemathi, binti Ishmaeli, dada yake Nebayothi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

pia akaoa Basemathi binti Ishmaeli, dada yake Nebayothi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

pia akaoa Basemathi binti wa Ishmaeli, dada yake Nebayothi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na Basemathi, binti Ishmaeli, nduguye Nebayothi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 36:3
6 Marejeleo ya Msalaba  

Na haya ndiyo majina ya wana wa Ishmaeli, kwa majina yao, na kwa vizazi vyao. Mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, ni Nebayothi, na Kedari, na Abdeeli, na Mibsamu,


Esau alipokuwa mwenye miaka arubaini, akamwoa Yudithi, binti Beeri, Mhiti, na Basemathi, binti Eloni, Mhiti.


Basi Esau akaenda kwa Ishmaeli akamtwaa Mahalathi, binti Ishmaeli mwana wa Abrahamu, ndugu wa Nebayothi, kuwa mkewe pamoja na wakeze aliokuwa nao.


Haya ndiyo majina ya wana wa Esau; Elifazi, mwana wa Ada mkewe Esau. Reueli, mwana wa Basemathi, mkewe Esau.


Esau alitwaa binti za Kanaani, kuwa wakeze; Ada, binti Eloni, Mhiti, na Oholibama, binti Ana, binti Sibeoni, Mhivi;


Ada akamzalia Esau Elifazi; na Basemathi alizaa Reueli.