Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 36:4 - Swahili Revised Union Version

4 Ada akamzalia Esau Elifazi; na Basemathi alizaa Reueli.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Ada alimzalia Esau Elifazi, naye Basemathi akamzalia Reueli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Ada alimzalia Esau Elifazi, naye Basemathi akamzalia Reueli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Ada alimzalia Esau Elifazi, naye Basemathi akamzalia Reueli.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Ada akamzalia Esau Elifazi; Basemathi akamzaa Reueli;

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Ada akamzalia Esau Elifazi, Basemathi akamzaa Reueli,

Tazama sura Nakili




Mwanzo 36:4
7 Marejeleo ya Msalaba  

Esau alipokuwa mwenye miaka arubaini, akamwoa Yudithi, binti Beeri, Mhiti, na Basemathi, binti Eloni, Mhiti.


na Basemathi, binti Ishmaeli, nduguye Nebayothi.


Oholibama alizaa Yeushi, na Yalamu, na Kora. Hao ndio wana wa Esau aliozaliwa katika nchi ya Kanaani.


Wana wa Esau; Elifazi, na Reueli, na Yeushi, na Yalamu, na Kora.


Basi ikawa hao marafiki watatu wa Ayubu walipopata habari ya mabaya hayo yote yaliyomfikia, wakaja kila mtu kutoka mahali pake; nao ni Elifazi Mtemani, na Bildadi Mshuhi, na Sofari Mnaamathi; wakapatana pamoja ili waende kumfariji Ayubu na kumtuliza moyo.


Walipofika kwa Reueli baba yao, akasema, Imekuwaje hata mkarejea mapema leo?


Kisha Musa akamwambia Hobabu, mwana wa Reueli Mmidiani, mkwewe Musa, Sisi twasafiri kwenenda mahali ambapo BWANA amenena habari zake hivi, Nitawapa ninyi mahali hapo; uje pamoja nasi, nasi tutakufanyia mema; kwa kuwa BWANA ametamka mema juu ya Israeli.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo