Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 36:10 - Swahili Revised Union Version

10 Haya ndiyo majina ya wana wa Esau; Elifazi, mwana wa Ada mkewe Esau. Reueli, mwana wa Basemathi, mkewe Esau.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Watoto wa kiume wa Esau walikuwa Elifazi aliyezaliwa na Ada mkewe, na Reueli aliyezaliwa na Basemathi mke wake mwingine.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Watoto wa kiume wa Esau walikuwa Elifazi aliyezaliwa na Ada mkewe, na Reueli aliyezaliwa na Basemathi mke wake mwingine.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Watoto wa kiume wa Esau walikuwa Elifazi aliyezaliwa na Ada mkewe, na Reueli aliyezaliwa na Basemathi mke wake mwingine.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Haya ndiyo majina ya wana wa Esau: Elifazi, mwana wa Esau ambaye mkewe Ada alimzalia; na Reueli, mwana wa Esau ambaye mkewe Basemathi alimzalia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Haya ndiyo majina ya wana wa Esau: Elifazi, mwana wa Esau ambaye mkewe Ada alimzalia; na Reueli, mwana wa Esau ambaye mkewe Basemathi alimzalia.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

10 Haya ndiyo majina ya wana wa Esau; Elifazi, mwana wa Ada mkewe Esau. Reueli, mwana wa Basemathi, mkewe Esau.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 36:10
5 Marejeleo ya Msalaba  

Esau alipokuwa mwenye miaka arubaini, akamwoa Yudithi, binti Beeri, Mhiti, na Basemathi, binti Eloni, Mhiti.


Na wana wa Elifazi, ni Temani na Omari, na Sefo, na Gatamu, na Kenazi.


Hivi ni vizazi vya Esau, baba ya Edomu katika mlima Seiri.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo