Basi BWANA alipokwisha kuzungumza na Abrahamu, akaenda zake; Abrahamu naye akarudi mahali pake.
Mwanzo 32:1 - Swahili Revised Union Version Yakobo akashika njia yake na malaika wa Mungu wakakutana naye. Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Yakobo aliendelea na safari yake. Basi, malaika wa Mungu wakakutana naye. Biblia Habari Njema - BHND Yakobo aliendelea na safari yake. Basi, malaika wa Mungu wakakutana naye. Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Yakobo aliendelea na safari yake. Basi, malaika wa Mungu wakakutana naye. Neno: Bibilia Takatifu Yakobo pia akaondoka akaenda zake, nao malaika wa Mungu wakakutana naye. Neno: Maandiko Matakatifu Yakobo pia akaondoka akaenda zake, nao malaika wa Mungu wakakutana naye. BIBLIA KISWAHILI Yakobo akashika njia yake na malaika wa Mungu wakakutana naye. |
Basi BWANA alipokwisha kuzungumza na Abrahamu, akaenda zake; Abrahamu naye akarudi mahali pake.
Wakambariki Rebeka, wakamwambia, Dada yetu, wewe uwe mama wa elfu kumi, mara elfu nyingi, na wazao wako waurithi mlango wa hao wawachukiao.
kwamba ni Paulo, au Apolo, au Kefa; au dunia, au uzima, au mauti; au vile vilivyopo sasa, au vile vitakavyokuwapo; vyote ni vyenu;
ili sasa, kwa njia ya kanisa, hekima ya Mungu iliyo ya namna nyingi ijulikane na falme na mamlaka katika ulimwengu wa roho;