Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 32:1 - Swahili Revised Union Version

Yakobo akashika njia yake na malaika wa Mungu wakakutana naye.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yakobo aliendelea na safari yake. Basi, malaika wa Mungu wakakutana naye.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yakobo aliendelea na safari yake. Basi, malaika wa Mungu wakakutana naye.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yakobo aliendelea na safari yake. Basi, malaika wa Mungu wakakutana naye.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yakobo pia akaondoka akaenda zake, nao malaika wa Mungu wakakutana naye.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yakobo pia akaondoka akaenda zake, nao malaika wa Mungu wakakutana naye.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yakobo akashika njia yake na malaika wa Mungu wakakutana naye.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 32:1
9 Marejeleo ya Msalaba  

Basi BWANA alipokwisha kuzungumza na Abrahamu, akaenda zake; Abrahamu naye akarudi mahali pake.


Wakambariki Rebeka, wakamwambia, Dada yetu, wewe uwe mama wa elfu kumi, mara elfu nyingi, na wazao wako waurithi mlango wa hao wawachukiao.


Wala hukuniacha niwabusu wanangu, na binti zangu; basi umetenda upumbavu.


Malaika wa BWANA huwazungukia, Wamchao na kuwaokoa.


Kwa kuwa atakuagizia malaika wake Wakulinde katika njia zako zote.


kwamba ni Paulo, au Apolo, au Kefa; au dunia, au uzima, au mauti; au vile vilivyopo sasa, au vile vitakavyokuwapo; vyote ni vyenu;


ili sasa, kwa njia ya kanisa, hekima ya Mungu iliyo ya namna nyingi ijulikane na falme na mamlaka katika ulimwengu wa roho;


amefanyika bora kupita malaika, kwa kadiri jina alilolirithi lilivyo tukufu kuliko lao.