Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 18:33 - Swahili Revised Union Version

33 Basi BWANA alipokwisha kuzungumza na Abrahamu, akaenda zake; Abrahamu naye akarudi mahali pake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

33 Mwenyezi-Mungu alipomaliza kuzungumza na Abrahamu, alikwenda zake; naye Abrahamu akarudi nyumbani kwake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 Mwenyezi-Mungu alipomaliza kuzungumza na Abrahamu, alikwenda zake; naye Abrahamu akarudi nyumbani kwake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 Mwenyezi-Mungu alipomaliza kuzungumza na Abrahamu, alikwenda zake; naye Abrahamu akarudi nyumbani kwake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

33 Mwenyezi Mungu alipomaliza kuzungumza na Ibrahimu, akaondoka, naye Ibrahimu akarudi nyumbani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

33 bwana alipomaliza kuzungumza na Ibrahimu, akaondoka, naye Ibrahimu akarudi nyumbani kwake.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 18:33
9 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu alipomaliza kusema naye, akaondoka kwa Abrahamu.


Kisha watu hao wakaondoka huko wakaelekeza nyuso zao Sodoma. Abrahamu akaenda pamoja nao awasindikize.


Basi wale watu wakatoka huko wakaelekea Sodoma; lakini Abrahamu alibaki amesimama mbele za BWANA.


Kisha wakasikia sauti ya BWANA Mungu, akitembea bustanini wakati wa jua kupunga; Adamu na mkewe wakajificha kati ya miti ya bustani, BWANA Mungu asiwaone.


Labani akaondoka asubuhi na mapema, akawabusu wanawe na binti zake, akawabariki; kisha Labani akaenda zake, akarudi kwao.


Yakobo akashika njia yake na malaika wa Mungu wakakutana naye.


Akasema, Niache, niende, maana kunapambazuka. Akasema, Sikuachi, usiponibariki.


Mungu akakwea juu kutoka kwake mahali hapo aliposema naye.


Hasira za BWANA zikawaka juu yao; kisha akaenda zake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo