Mwanzo 18:33 - Swahili Revised Union Version33 Basi BWANA alipokwisha kuzungumza na Abrahamu, akaenda zake; Abrahamu naye akarudi mahali pake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema33 Mwenyezi-Mungu alipomaliza kuzungumza na Abrahamu, alikwenda zake; naye Abrahamu akarudi nyumbani kwake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND33 Mwenyezi-Mungu alipomaliza kuzungumza na Abrahamu, alikwenda zake; naye Abrahamu akarudi nyumbani kwake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza33 Mwenyezi-Mungu alipomaliza kuzungumza na Abrahamu, alikwenda zake; naye Abrahamu akarudi nyumbani kwake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu33 Mwenyezi Mungu alipomaliza kuzungumza na Ibrahimu, akaondoka, naye Ibrahimu akarudi nyumbani. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu33 bwana alipomaliza kuzungumza na Ibrahimu, akaondoka, naye Ibrahimu akarudi nyumbani kwake. Tazama sura |