Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 30:9 - Swahili Revised Union Version

Lea alipoona ya kuwa ameacha kuzaa, alimtwaa Zilpa, mjakazi wake, akampa Yakobo kuwa mkewe.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lea alipoona ameacha kuzaa, alimtwaa Zilpa, mjakazi wake, na kumpa Yakobo ili awe mkewe.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lea alipoona ameacha kuzaa, alimtwaa Zilpa, mjakazi wake, na kumpa Yakobo ili awe mkewe.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lea alipoona ameacha kuzaa, alimtwaa Zilpa, mjakazi wake, na kumpa Yakobo ili awe mkewe.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lea alipoona kuwa amekoma kuzaa watoto, alimchukua mjakazi wake Zilpa, naye akampa Yakobo awe mke wake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lea alipoona kuwa amekoma kuzaa watoto, alimchukua mtumishi wake wa kike Zilpa, naye akampa Yakobo awe mke wake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lea alipoona ya kuwa ameacha kuzaa, alimtwaa Zilpa, mjakazi wake, akampa Yakobo kuwa mkewe.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 30:9
8 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa hiyo, baada ya Abramu kukaa miaka kumi katika nchi ya Kanaani, Sarai mkewe Abramu alimtwaa Hajiri Mmisri, mjakazi wake, akampa Abramu mumewe, kama mke.


Labani akampa Lea mjakazi wake Zilpa, awe mjakazi wake.


Akapata mimba tena, akazaa mwana. Akasema, Mara hii nitamsifu BWANA; kwa hiyo akamwita jina lake Yuda; akaacha kuzaa.


Zilpa, mjakazi wa Lea, akamzalia Yakobo mwana.


Mungu akamsikia Lea, naye akapata mimba, akamzalia Yakobo mwana wa tano.


Basi akampa Bilha mjakazi wake kuwa mkewe. Yakobo akaingia kwake.


Raheli akasema, Kwa mashindano makuu nimeshindana na dada yangu, nikashinda. Akamwita jina lake Naftali.


Hao ndio wana wa Zilpa, ambaye Labani alimpa Lea, binti yake, naye akamzalia Yakobo hao, watu kumi na sita.