Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 30:4 - Swahili Revised Union Version

4 Basi akampa Bilha mjakazi wake kuwa mkewe. Yakobo akaingia kwake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Kwa hiyo Raheli akampa Yakobo mtumishi wake, Bilha, awe mkewe, naye akalala naye.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Kwa hiyo Raheli akampa Yakobo mtumishi wake, Bilha, awe mkewe, naye akalala naye.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Kwa hiyo Raheli akampa Yakobo mtumishi wake, Bilha, awe mkewe, naye akalala naye.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Hivyo Raheli akampa Yakobo Bilha awe mke wake. Yakobo akakutana naye kimwili,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Hivyo Raheli akampa Yakobo Bilha awe mke wake. Yakobo akakutana naye kimwili,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 Basi akampa Bilha mjakazi wake kuwa mkewe. Yakobo akaingia kwake.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 30:4
12 Marejeleo ya Msalaba  

Sarai akamwambia Abramu, kwa kuwa BWANA amenifunga tumbo nisizae, sasa mwingilie mjakazi wangu, labda nitapata uzao kutoka kwake. Abramu akaisikiliza sauti ya Sarai.


Kwa hiyo akamwambia Abrahamu, Mfukuze mjakazi huyu na mwanawe, maana mwana wa mjakazi hatarithi pamoja na mwanangu, Isaka.


Na suria wake Reuma naye alizaa Teba na Gahamu na Tahashi na Maaka.


Abrahamu alioa mke mwingine jina lake akiitwa Ketura.


Lakini wana wa masuria aliokuwa nao Abrahamu, Abrahamu akawapa zawadi, naye akawaondoa katika mahali alipokaa Isaka mwanawe, wakati wa uhai wake, waende pande za mashariki, mpaka nchi ya Kedemu.


Labani akampa binti yake Raheli mjakazi wake Bilha, awe mjakazi wake.


Naye Bilha akapata mimba, akamzalia Yakobo mwana.


Akawaweka hao vijakazi na wana wao mbele, na Lea na wanawe nyuma yao, na Raheli na Yusufu mwisho.


Ikawa Israeli alipokuwa akikaa katika nchi ile, Reubeni akaenda akalala na Bilha, suria wa babaye; Israeli akasikia habari. Basi hao wana wa Yakobo walikuwa kumi na wawili.


Hao ndio wana wa Bilha, ambaye Labani alimpa Raheli, binti yake, naye akamzalia Yakobo hao; wote walikuwa watu saba.


BWANA asema hivi, Angalia, nitakuzushia uovu katika nyumba yako, nami nitawatwaa wake zako mbele ya macho yako, na kumpa jirani yako, naye atalala na wake zako hadharani.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo