Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 30:9 - Swahili Revised Union Version

9 Lea alipoona ya kuwa ameacha kuzaa, alimtwaa Zilpa, mjakazi wake, akampa Yakobo kuwa mkewe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Lea alipoona ameacha kuzaa, alimtwaa Zilpa, mjakazi wake, na kumpa Yakobo ili awe mkewe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Lea alipoona ameacha kuzaa, alimtwaa Zilpa, mjakazi wake, na kumpa Yakobo ili awe mkewe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Lea alipoona ameacha kuzaa, alimtwaa Zilpa, mjakazi wake, na kumpa Yakobo ili awe mkewe.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Lea alipoona kuwa amekoma kuzaa watoto, alimchukua mjakazi wake Zilpa, naye akampa Yakobo awe mke wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Lea alipoona kuwa amekoma kuzaa watoto, alimchukua mtumishi wake wa kike Zilpa, naye akampa Yakobo awe mke wake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

9 Lea alipoona ya kuwa ameacha kuzaa, alimtwaa Zilpa, mjakazi wake, akampa Yakobo kuwa mkewe.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 30:9
8 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa hiyo, baada ya Abramu kukaa miaka kumi katika nchi ya Kanaani, Sarai mkewe Abramu alimtwaa Hajiri Mmisri, mjakazi wake, akampa Abramu mumewe, kama mke.


Labani akampa Lea mjakazi wake Zilpa, awe mjakazi wake.


Akapata mimba tena, akazaa mwana. Akasema, Mara hii nitamsifu BWANA; kwa hiyo akamwita jina lake Yuda; akaacha kuzaa.


Zilpa, mjakazi wa Lea, akamzalia Yakobo mwana.


Mungu akamsikia Lea, naye akapata mimba, akamzalia Yakobo mwana wa tano.


Basi akampa Bilha mjakazi wake kuwa mkewe. Yakobo akaingia kwake.


Raheli akasema, Kwa mashindano makuu nimeshindana na dada yangu, nikashinda. Akamwita jina lake Naftali.


Hao ndio wana wa Zilpa, ambaye Labani alimpa Lea, binti yake, naye akamzalia Yakobo hao, watu kumi na sita.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo