Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 24:57 - Swahili Revised Union Version

Wakasema, Na tumwite huyo msichana, tumwulize mwenyewe.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nao wakasema, “Basi, tumwite msichana mwenyewe, tumwulize.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nao wakasema, “Basi, tumwite msichana mwenyewe, tumwulize.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nao wakasema, “Basi, tumwite msichana mwenyewe, tumwulize.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ndipo wakasema, “Acha tumwite huyo binti tumuulize, tusikie atakavyosema.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ndipo wakasema, “Acha tumwite huyo binti tumuulize, tusikie atakavyosema.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakasema, Na tumwite huyo msichana, tumwulize mwenyewe.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 24:57
3 Marejeleo ya Msalaba  

Naye akawaambia, Msinikawilishe, mradi BWANA amefanikisha njia yangu; nipeni ruhusa niende kwa bwana wangu.


Wakamwita Rebeka wakamwuliza, Je! Utakwenda na mtu huyu? Akasema, Nitakwenda.


BWANA ameagiza neno hili katika habari ya binti za Selofehadi, akasema, Na waolewe na waume wawapendao; lakini na waolewe katika jamaa ya kabila la baba zao.