Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 24:25 - Swahili Revised Union Version

Tena akamwambia, Kwetu kuna majani na malisho ya kutosha, na mahali pa kukaa wageni.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwetu kuna majani na malisho ya kutosha na mahali pa kulala wageni.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwetu kuna majani na malisho ya kutosha na mahali pa kulala wageni.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kwetu kuna majani na malisho ya kutosha na mahali pa kulala wageni.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akaendelea kusema, “Kwetu kuna majani mengi na malisho, tena kuna nafasi kwa ajili yenu kulala.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akaendelea kusema, “Kwetu kuna majani mengi na malisho, tena kuna nafasi kwa ajili yenu kulala.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Tena akamwambia, Kwetu kuna majani na malisho ya kutosha, na mahali pa kukaa wageni.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 24:25
8 Marejeleo ya Msalaba  

Akasema, Mimi ni binti wa Bethueli mwana wa Milka, aliyemzalia Nahori.


Yule mtu akainama akamsujudu BWANA.


Na mtu yule akaingia katika nyumba, akawafungua ngamia; naye akatoa majani na malisho kwa ngamia, na maji ya kuoshea miguu yake, na miguu ya watu waliokuwa pamoja naye.


Mmoja wao alipofungua gunia lake ili ampe punda wake chakula katika nyumba ya wageni, aliiona fedha yake; kumbe! Iko kinywani mwa gunia lake.


Bali muungwana huwaza mambo ya kiungwana, naye hushika sana mambo ya kiungwana.


Mkaribishane ninyi kwa ninyi, pasipo kunung'unika;