Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 24:25 - Swahili Revised Union Version

25 Tena akamwambia, Kwetu kuna majani na malisho ya kutosha, na mahali pa kukaa wageni.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Kwetu kuna majani na malisho ya kutosha na mahali pa kulala wageni.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Kwetu kuna majani na malisho ya kutosha na mahali pa kulala wageni.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Kwetu kuna majani na malisho ya kutosha na mahali pa kulala wageni.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Akaendelea kusema, “Kwetu kuna majani mengi na malisho, tena kuna nafasi kwa ajili yenu kulala.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Akaendelea kusema, “Kwetu kuna majani mengi na malisho, tena kuna nafasi kwa ajili yenu kulala.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

25 Tena akamwambia, Kwetu kuna majani na malisho ya kutosha, na mahali pa kukaa wageni.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 24:25
8 Marejeleo ya Msalaba  

Akasema, Mimi ni binti wa Bethueli mwana wa Milka, aliyemzalia Nahori.


Yule mtu akainama akamsujudu BWANA.


Na mtu yule akaingia katika nyumba, akawafungua ngamia; naye akatoa majani na malisho kwa ngamia, na maji ya kuoshea miguu yake, na miguu ya watu waliokuwa pamoja naye.


Mmoja wao alipofungua gunia lake ili ampe punda wake chakula katika nyumba ya wageni, aliiona fedha yake; kumbe! Iko kinywani mwa gunia lake.


Bali muungwana huwaza mambo ya kiungwana, naye hushika sana mambo ya kiungwana.


Mkaribishane ninyi kwa ninyi, pasipo kunung'unika;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo