Mwanzo 24:25 - Swahili Revised Union Version25 Tena akamwambia, Kwetu kuna majani na malisho ya kutosha, na mahali pa kukaa wageni. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema25 Kwetu kuna majani na malisho ya kutosha na mahali pa kulala wageni.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND25 Kwetu kuna majani na malisho ya kutosha na mahali pa kulala wageni.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza25 Kwetu kuna majani na malisho ya kutosha na mahali pa kulala wageni.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu25 Akaendelea kusema, “Kwetu kuna majani mengi na malisho, tena kuna nafasi kwa ajili yenu kulala.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu25 Akaendelea kusema, “Kwetu kuna majani mengi na malisho, tena kuna nafasi kwa ajili yenu kulala.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI25 Tena akamwambia, Kwetu kuna majani na malisho ya kutosha, na mahali pa kukaa wageni. Tazama sura |