Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 21:3 - Swahili Revised Union Version

Abrahamu akamwita jina lake Isaka, yule mwana aliyezaliwa, ambaye Sara alimzalia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Abrahamu akampa huyo mwanawe ambaye Sara alimzalia jina Isaka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Abrahamu akampa huyo mwanawe ambaye Sara alimzalia jina Isaka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Abrahamu akampa huyo mwanawe ambaye Sara alimzalia jina Isaka.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ibrahimu akampa huyo mwana ambaye Sara alimzalia jina Isaka.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ibrahimu akamwita Isaka yule mwana ambaye Sara alimzalia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Abrahamu akamwita jina lake Isaka, yule mwana aliyezaliwa, ambaye Sara alimzalia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 21:3
11 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu akasema, Sivyo, lakini Sara mkeo atakuzalia mwana wa kiume, nawe utamwita jina lake Isaka. Nami nitafanya agano langu imara kwake kuwa agano la milele kwa ajili ya uzao wake baada yake.


Bali agano langu nitalifanya imara kwa Isaka, ambaye Sara atakuzalia majira kama haya mwaka ujao.


Mungu akamwambia Abrahamu, Neno hili lisiwe baya machoni pako, kwa ajili ya huyo mwana, na huyo mjakazi wako. Kila akuambialo Sara, sikiza sauti yake, kwa maana katika Isaka uzao wako utaitwa.


Sara akasema, Mungu amenifanyia kicheko; kila asikiaye atacheka pamoja nami.


Akasema, Umchukue mwanao, mwana wako wa pekee, umpendaye, Isaka, ukaende zako mpaka nchi ya Moria, ukamtoe sadaka ya kuteketezwa huko juu ya mlima mmojawapo nitakaokuambia.


Na hivi ndivyo vizazi vya Isaka, mwana wa Abrahamu. Abrahamu alimzaa Isaka.


Abrahamu alimzaa Isaka; Isaka akamzaa Yakobo; Yakobo akamzaa Yuda na ndugu zake;


Akampa agano la tohara; basi Abrahamu akamzaa Isaka, akamtahiri siku ya nane. Isaka akamzaa Yakobo. Yakobo akawazaa wale kumi na wawili, wazee wetu.


Wala hawawi wote wana kwa kuwa wazawa wa Abrahamu, bali, Katika Isaka wazawa wako wataitwa;


naam, yeye aliyeambiwa, Katika Isaka uzao wako utaitwa,


Nami nikamtwaa Abrahamu baba yenu toka ng'ambo ya Mto, nikamwongoza katika nchi yote ya Kanaani; nikaongeza uzao wake, nikampa Isaka.