Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 21:4 - Swahili Revised Union Version

4 Abrahamu akamtahiri Isaka mwanawe, alipokuwa mwenye siku nane, kama Mungu alivyomwamuru.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Isaka alipotimiza umri wa siku nane, Abrahamu akamtahiri kama alivyoamriwa na Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Isaka alipotimiza umri wa siku nane, Abrahamu akamtahiri kama alivyoamriwa na Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Isaka alipotimiza umri wa siku nane, Abrahamu akamtahiri kama alivyoamriwa na Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Isaka alipokuwa na umri wa siku nane, Ibrahimu akamtahiri, kama Mungu alivyomwamuru.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Isaka alipokuwa na umri wa siku nane, Ibrahimu akamtahiri, kama Mungu alivyomwamuru.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 Abrahamu akamtahiri Isaka mwanawe, alipokuwa mwenye siku nane, kama Mungu alivyomwamuru.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 21:4
9 Marejeleo ya Msalaba  

Na mgeni atakapoketi pamoja nawe, na kupenda kumfanyia BWANA Pasaka, wanaume wake wote watahiriwe, ndipo hapo akaribie na kufanya Pasaka; naye atakuwa mfano mmoja na mtu aliyezaliwa katika nchi; lakini mtu yeyote asiyetahiriwa asimle.


Siku ya nane mtoto atatahiriwa govi ya zunga lake.


Ikawa siku ya nane wakaja kumtahiri mtoto; wakataka kumpa jina la babaye, Zakaria.


Na wote wawili walikuwa wenye haki mbele za Mungu, wakiishi katika amri zote za Bwana na maagizo yake bila lawama.


Hata zilipotumia siku nane za kumtahiri, aliitwa jina lake Yesu; kama alivyoitwa na malaika kabla hajachukuliwa mimba.


Akampa agano la tohara; basi Abrahamu akamzaa Isaka, akamtahiri siku ya nane. Isaka akamzaa Yakobo. Yakobo akawazaa wale kumi na wawili, wazee wetu.


Neno lolote ninalowaagiza lizingatieni, usilizidishe, wala usilipunguze.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo