Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 21:6 - Swahili Revised Union Version

6 Sara akasema, Mungu amenifanyia kicheko; kila asikiaye atacheka pamoja nami.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Naye Sara akasema, “Mungu amenipatia kicheko; yeyote atakayesikia habari hizi, atacheka pamoja nami.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Naye Sara akasema, “Mungu amenipatia kicheko; yeyote atakayesikia habari hizi, atacheka pamoja nami.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Naye Sara akasema, “Mungu amenipatia kicheko; yeyote atakayesikia habari hizi, atacheka pamoja nami.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Sara akasema, “Mungu ameniletea kicheko, na kila mmoja atakayesikia jambo hili atacheka pamoja nami.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Sara akasema, “Mungu ameniletea kicheko, kila mmoja atakayesikia jambo hili atacheka pamoja nami.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

6 Sara akasema, Mungu amenifanyia kicheko; kila asikiaye atacheka pamoja nami.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 21:6
17 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo Abrahamu akaanguka kifudifudi akacheka, akasema moyoni, Je! Mtu wa umri wa miaka mia moja, kwake atazaliwa mtoto? Naye Sara mwenye umri wa miaka tisini atazaa?


Humweka nyumbani mwanamke aliye tasa, Awe mama ya watoto mwenye furaha.


Ndipo kinywa chetu kilipojaa kicheko, Na ulimi wetu kelele za furaha. Ndipo waliposema katika mataifa, BWANA amewatendea mambo makuu.


Je! Mwanamke aweza kumsahau mtoto wake anyonyaye, hata asimhurumie mwana wa tumbo lake? Naam, hawa waweza kusahau, lakini mimi sitakusahau wewe.


Ndipo utasema moyoni mwako, Ni nani aliyenizalia watoto hawa, na mimi nimefiwa na watoto wangu, nami niko peke yangu, nimehamishwa, ninatangatanga huko na huku? Tena ni nani aliyewalea hawa? Tazama, niliachwa peke yangu; hawa je! Walikuwa wapi?


Imba, wewe uliye tasa, wewe usiyezaa; paza sauti yako kwa kuimba, piga kelele, wewe usiyekuwa na uchungu; maana watoto wake aliyeachwa ni wengi kuliko watoto wake yeye aliyeolewa, asema BWANA.


Na alaaniwe mtu yule aliyemletea baba yangu habari, akisema, Umezaliwa mtoto wa kiume; na kumfurahisha sana.


Nawe utakuwa na furaha na shangwe, na watu wengi watakufurahia kuzaliwa kwake.


Wakasikia jirani zake na jamaa zake ya kwamba Bwana amemwongezea rehema zake, wakafurahi pamoja naye.


Furahini pamoja nao wafurahio; lieni pamoja nao waliao.


Kwa imani hata Sara mwenyewe alipokea uwezo wa kuwa na mimba; alipokuwa amepita wakati wake; kwa kuwa alimhesabu yeye aliyeahidi kuwa mwaminifu.


Akasema, Ee bwana wangu, kama iishivyo roho yako, bwana wangu, mimi ndimi yule mwanamke aliyesimama karibu nawe hapa, nikimwomba BWANA.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo