Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 8:8 - Swahili Revised Union Version

Maneno yote ya kinywa changu yana haki; Hapana hata neno lililopotoka au la ukaidi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kinywa changu kitatamka maneno ya kweli, udanganyifu ni haramu midomoni mwangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kinywa changu kitatamka maneno ya kweli, udanganyifu ni haramu midomoni mwangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kinywa changu kitatamka maneno ya kweli, udanganyifu ni haramu midomoni mwangu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Maneno yote ya kinywa changu ni ya haki; hakuna mojawapo lililopotoka au la ukaidi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Maneno yote ya kinywa changu ni haki; hakuna mojawapo lililopotoka wala ukaidi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maneno yote ya kinywa changu yana haki; Hapana hata neno lililopotoka au la ukaidi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 8:8
10 Marejeleo ya Msalaba  

Maneno ya BWANA ni maneno safi, Ni fedha iliyojaribiwa kalibuni juu ya nchi; Iliyosafishwa mara saba.


Mwenye dharau hutafuta hekima, asiipate; Bali maarifa huwa mepesi kwa mwenye ufahamu.


Waliopotoka katika njia zao; Walio wakaidi katika mapito yao.


Kwa kuwa nawapa mafundisho mazuri; Msiiache sheria yangu.


Kumcha BWANA ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia.


Kwa nafsi yangu nimeapa, neno hili limetoka kinywani mwangu katika haki, wala halitarudi, ya kwamba mbele zangu kila goti litapigwa, kila ulimi utaapa.


Ni nani huyu atokaye Edomu, Atokaye Bosra akiwa na mavazi yenye madoa mekundu? Huyu aliye na nguo za fahari, Anayekwenda katika ukuu wa uweza wake? Ndimi nisemaye kwa haki, Niliye hodari wa kuokoa.


Wale watumishi wakajibu. Hajanena kamwe mtu yeyote kama huyu anavyonena.


Wametenda mambo ya uharibifu, Hawawi watoto wake, hii ndiyo ila yao; Wao ni kizazi chenye ukaidi, kilichopotoka.


mpate kuwa wana wa Mungu wasio na lawama, wala udanganyifu, wasio na ila kati ya kizazi chenye ukaidi, kilichopotoka; ambao kati ya hao mnaonekana kuwa kama mianga katika ulimwengu,