Mungu akaliumba anga, akayatenga yale maji yaliyo juu ya anga na yale maji yaliyo chini ya anga; ikawa hivyo.
Methali 8:28 - Swahili Revised Union Version Alipofanya imara mawingu yaliyo juu; Chemchemi za bahari zilipopata nguvu; Matoleo zaidiBiblia Habari Njema wakati alipoimarisha mawingu mbinguni, alipozifanya imara chemchemi za bahari; Biblia Habari Njema - BHND wakati alipoimarisha mawingu mbinguni, alipozifanya imara chemchemi za bahari; Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza wakati alipoimarisha mawingu mbinguni, alipozifanya imara chemchemi za bahari; Neno: Bibilia Takatifu wakati aliweka mawingu juu na kuziweka imara chemchemi za bahari, Neno: Maandiko Matakatifu wakati aliweka mawingu juu na kuziweka imara chemchemi za bahari, BIBLIA KISWAHILI Alipofanya imara mawingu yaliyo juu; Chemchemi za bahari zilipopata nguvu; |
Mungu akaliumba anga, akayatenga yale maji yaliyo juu ya anga na yale maji yaliyo chini ya anga; ikawa hivyo.
Mungu akasema, Maji yaliyo chini ya mbingu na yakusanyike mahali pamoja, ili pakavu paonekane; ikawa hivyo.
Katika mwaka wa mia sita wa maisha ya Nuhu, mwezi wa pili, siku ya kumi na saba ya mwezi, siku ile chemchemi zote za vilindi vikuu zilibubujika kwa nguvu, madirisha ya mbinguni yakafunguka.
chemchemi za vilindi zikafungwa, pia na madirisha ya mbinguni, mvua kutoka mbinguni ikazuiliwa;
Alipoipa bahari mpaka wake, Kwamba maji yake yasiasi amri yake; Alipoiagiza misingi ya nchi;
Akawaambia, Mbona mmekuwa waoga, enyi wa imani haba? Mara akaondoka, akazikemea pepo na bahari; kukawa shwari kuu.