Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 8:19 - Swahili Revised Union Version

Matunda yangu ni bora kuliko dhahabu, naam, dhahabu safi, Na faida yangu ni bora kuliko fedha iliyo safi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Matunda yangu ni mazuri kuliko dhahabu safi, faida yangu yashinda ile ya fedha bora.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Matunda yangu ni mazuri kuliko dhahabu safi, faida yangu yashinda ile ya fedha bora.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Matunda yangu ni mazuri kuliko dhahabu safi, faida yangu yashinda ile ya fedha bora.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Tunda langu ni bora kuliko dhahabu safi; kile ninachotoa hupita fedha iliyo bora.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Tunda langu ni bora kuliko dhahabu safi; kile nitoacho hupita fedha iliyo bora.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Matunda yangu ni bora kuliko dhahabu, naam, dhahabu safi, Na faida yangu ni bora kuliko fedha iliyo safi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 8:19
8 Marejeleo ya Msalaba  

Haipatikani kwa dhahabu, Wala fedha haitapimwa iwe thamani yake.


Yakuti ya rangi ya manjano ya Kushi haitasawazishwa nayo, Wala haitatiwa kima kwa dhahabu safi.


Ulimi wa mwenye haki ni kama fedha safi; Moyo wa mtu mbaya haufai kitu.


Si afadhali kupata hekima kuliko dhahabu? Naam, yafaa kuchagua ufahamu kuliko fedha.


Maana biashara yake ni bora kuliko biashara ya fedha, Na faida yake ni nyingi kuliko dhahabu safi.


Pokea mafundisho yangu, wala si fedha, Na maarifa kuliko dhahabu safi.


Natembea katika njia ya haki, Katikati ya mapito ya hukumu.


Kwa maana ulinzi wa hekima ni kama ulinzi wa fedha na ubora wa maarifa ni kwamba hekima humhifadhi yeye aliye nayo.