Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 8:18 - Swahili Revised Union Version

Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo, na haki pia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Utajiri na heshima viko kwangu, mali ya kudumu na fanaka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Utajiri na heshima viko kwangu, mali ya kudumu na fanaka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Utajiri na heshima viko kwangu, mali ya kudumu na fanaka.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Utajiri na heshima viko kwangu, utajiri unaodumu na mafanikio.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Utajiri na heshima viko kwangu, utajiri udumuo na mafanikio.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo, na haki pia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 8:18
21 Marejeleo ya Msalaba  

Nyumbani mwake mna utajiri na mali, Na haki yake yadumu milele.


Haki yako ni kama milima ya Mungu, Hukumu zako ni vilindi vikuu, Ee BWANA, unawalinda wanadamu na wanyama.


Mali hazifaidii kitu siku ya ghadhabu; Bali haki huokoa na mauti.


Na kwa maarifa vyumba vyake hujazwa Vitu vyote vya thamani na vya kupendeza.


Ana wingi wa siku katika mkono wake wa kulia, Utajiri na heshima katika mkono wake wa kushoto.


Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na haki yake; na hayo yote mtazidishiwa.


lakini kinatakiwa kitu kimoja tu; na Mariamu amelichagua fungu lililo jema, ambalo hatanyang'anywa.


Viuzeni mlivyo navyo, mtoe sadaka. Jifanyieni mifuko isiyochakaa, akiba isiyopungua katika mbingu, mahali pasipokaribia mwizi, wala nondo haharibu.


kama wenye huzuni, bali siku zote tu wenye furaha; kama maskini, bali tukitajirisha wengi; kama wasio na kitu, bali tu wenye vitu vyote.


Mimi, niliye mdogo kuliko yeye aliye mdogo wa watakatifu wote, nilipewa neema hii ya kuwahubiria Mataifa utajiri wake Kristo usiopimika;


Na Mungu wangu atawajazeni kila mnachokihitaji kwa kadiri ya utajiri wake, katika utukufu, ndani ya Kristo Yesu.


Ndugu zangu wapenzi, sikilizeni, Je! Mungu hakuwachagua maskini wa dunia wawe matajiri wa imani na warithi wa ufalme aliowaahidia wampendao?


Nakupa shauri, ununue kwangu dhahabu iliyosafishwa kwa moto, upate kuwa tajiri, na mavazi meupe upate kuvaa, aibu ya uchi wako isionekane, na dawa ya macho ya kujipaka macho yako, upate kuona.