Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 8:10 - Swahili Revised Union Version

Pokea mafundisho yangu, wala si fedha, Na maarifa kuliko dhahabu safi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Chagua mafundisho yangu badala ya fedha; na maarifa badala ya dhahabu safi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Chagua mafundisho yangu badala ya fedha; na maarifa badala ya dhahabu safi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Chagua mafundisho yangu badala ya fedha; na maarifa badala ya dhahabu safi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Chagua mafundisho yangu badala ya fedha, maarifa badala ya dhahabu safi,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Chagua mafundisho yangu badala ya fedha, maarifa badala ya dhahabu safi,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Pokea mafundisho yangu, wala si fedha, Na maarifa kuliko dhahabu safi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 8:10
15 Marejeleo ya Msalaba  

Haipatikani kwa dhahabu, Wala fedha haitapimwa iwe thamani yake.


Dhahabu na vioo haviwezi kulinganishwa nayo; Wala kubadili kwake hakutakuwa kwa vyombo vya dhahabu safi.


Ndiyo maana nimeyapenda maagizo yako, Kuliko dhahabu, naam, dhahabu iliyo safi.


Naifurahia ahadi yako, Kama apataye mateka mengi.


Sheria ya kinywa chako ni njema kwangu, Kuliko maelfu ya dhahabu na fedha.


Ulimi wa mwenye haki ni kama fedha safi; Moyo wa mtu mbaya haufai kitu.


Si afadhali kupata hekima kuliko dhahabu? Naam, yafaa kuchagua ufahamu kuliko fedha.


Dhahabu iko, na marijani tele; Lakini midomo ya maarifa ni kito cha thamani.


Inunue kweli, wala usiiuze; Naam, hekima, na mafundisho, na ufahamu.


Matunda yangu ni bora kuliko dhahabu, naam, dhahabu safi, Na faida yangu ni bora kuliko fedha iliyo safi.


Hekima ni njema kama urithi; Naam, nayo ni bora kwao walionalo jua.


Lakini Petro akasema, Mimi sina fedha, wala dhahabu, lakini nilicho nacho ndicho nikupacho. Kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareti, simama uende.


kama wenye huzuni, bali siku zote tu wenye furaha; kama maskini, bali tukitajirisha wengi; kama wasio na kitu, bali tu wenye vitu vyote.