Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 7:25 - Swahili Revised Union Version

Moyo wako usizielekee njia zake, Wala usipotee katika mapito yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Msikubali kuongozwa na mwanamke kama huyo, wala msipitepite katika mapito yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Msikubali kuongozwa na mwanamke kama huyo, wala msipitepite katika mapito yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Msikubali kuongozwa na mwanamke kama huyo, wala msipitepite katika mapito yake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Usiruhusu moyo wako ugeukie njia za huyo mwanamke, wala usitangetange katika mapito yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Usiruhusu moyo wako ugeukie njia za huyo mwanamke, wala usitangetange katika mapito yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Moyo wako usizielekee njia zake, Wala usipotee katika mapito yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 7:25
10 Marejeleo ya Msalaba  

Nimetangatanga kama kondoo aliyepotea; Umtafute mtumishi wako; Kwa maana sikuyasahau maagizo yako.


Atakufa huyo kwa kukosa maonyo, Naye atapotea kwa wingi wa ujinga wake.


Itenge njia yako mbali naye, Wala usiukaribie mlango wa nyumba yake.


Usiutamani uzuri wake moyoni mwako; Wala usikubali akunase kwa kope za macho yake.


Maana amewaangusha wengi aliowajeruhi, Naam, jumla ya waliouawa naye ni wengi.


Apate kuwaita wapitao njiani, Waendao moja kwa moja katika njia zao.


Sisi sote kama kondoo tumepotea; Kila mmoja wetu amegeukia njia yake mwenyewe; Na BWANA ameweka juu yake Maovu yetu sisi sote.


lakini mimi nawaambia, Kila mtu atazamaye mwanamke kwa kumtamani, amekwisha kuzini naye moyoni mwake.