Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 7:2 - Swahili Revised Union Version

Uzishike amri zangu ukaishi, Na sheria yangu kama mboni ya jicho lako.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Zifuate amri zangu nawe utaishi; yalinde mafundisho yangu kama mboni ya jicho lako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Zifuate amri zangu nawe utaishi; yalinde mafundisho yangu kama mboni ya jicho lako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Zifuate amri zangu nawe utaishi; yalinde mafundisho yangu kama mboni ya jicho lako.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Shika amri zangu nawe utaishi; linda mafundisho yangu kama mboni ya jicho lako.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Shika amri zangu nawe utaishi; linda mafundisho yangu kama mboni ya jicho lako.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Uzishike amri zangu ukaishi, Na sheria yangu kama mboni ya jicho lako.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 7:2
16 Marejeleo ya Msalaba  

Haki ya shuhuda zako ni ya milele, Unifahamishe, nami nitaishi.


Unilinde kama mboni ya jicho, Unifiche chini ya kivuli cha mbawa zako;


Mkamate sana elimu, usimwache aende zake; Mshike, maana yeye ni uzima wako.


Zisiondoke machoni pako; Uzihifadhi ndani ya moyo wako.


Naye akanifundisha, akaniambia, Moyo wako uyahifadhi maneno yangu; Shika amri zangu ukaishi.


Tegeni masikio yenu, na kunijia; Sikieni, na nafsi zenu zitaishi; Nami nitafanya nanyi agano la milele, Naam, rehema za Daudi zilizo imara.


Lakini Yeremia akasema, La! Hawatakutoa. Nakusihi, uitii sauti ya BWANA katika hayo ninayokuambia; ndivyo itakavyokufaa, na nafsi yako utaishi.


Kwa ajili ya hayo mtazishika amri zangu na maagizo yangu yeyote atakayefanya hivyo ataishi; mimi ndimi BWANA.


Kwa maana BWANA wa majeshi asema hivi, Ili nitafute utukufu amenituma kwa mataifa wale waliowateka ninyi; maana yeye awagusaye ninyi aigusa mboni ya jicho lake.


Yeye aliye na amri zangu, na kuzishika, yeye ndiye anipendaye; naye anipendaye atapendwa na Baba yangu; nami nitampenda na kujidhihirisha kwake.


Ninyi mmekuwa rafiki zangu, mkitenda niwaamuruyo.


Alimkuta katika nchi ya ukame, Na katika jangwa tupu litishalo; Alimzunguka, akamtunza; Akamhifadhi kama mboni ya jicho;


Heri wazifuao nguo zao, ili wawe na haki ya kuuendea huo mti wa uzima, na kuingia mjini kwa milango yake.