Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 7:3 - Swahili Revised Union Version

3 Zifunge katika vidole vyako; Ziandike juu ya kibao cha moyo wako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Yafunge vidoleni mwako; yaandike moyoni mwako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Yafunge vidoleni mwako; yaandike moyoni mwako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Yafunge vidoleni mwako; yaandike moyoni mwako.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Yafunge katika vidole vyako; yaandike katika kibao cha moyo wako.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Yafunge katika vidole vyako; yaandike katika kibao cha moyo wako.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

3 Zifunge katika vidole vyako; Ziandike juu ya kibao cha moyo wako.

Tazama sura Nakili




Methali 7:3
11 Marejeleo ya Msalaba  

Rehema na kweli zisiachane nawe; Zifunge shingoni mwako; Ziandike juu ya kibao cha moyo wako.


Zisiondoke machoni pako; Uzihifadhi ndani ya moyo wako.


Yafunge hayo katika moyo wako daima; Jivike hayo shingoni mwako.


Mwambie hekima, Wewe ndiwe dada yangu; Mwite ufahamu jamaa yako mwandani.


Haya, nenda sasa, andika neno hili katika kibao mbele ya macho yao, lichore katika kitabu ili liwe kwa ajili ya majira yatakayokuja, kwa ushuhuda hata milele.


Tena kuhusu habari zangu, hili ndilo agano langu nao, asema BWANA; roho yangu iliyo juu yako, na maneno yangu niliyoyatia kinywani mwako, hayataondoka kinywani mwako, wala kinywani mwa wana wako, wala kinywani mwa wajukuu wako, asema BWANA, tangu leo na hata milele.


Dhambi ya Yuda imeandikwa kwa kalamu ya chuma, na kwa ncha ya almasi; imechorwa katika kibao cha moyo wao, na katika pembe za madhabahu zenu;


Bali agano hili ndilo nitakalofanya na nyumba ya Israeli, baada ya siku zile, asema BWANA; Nitatia sheria yangu ndani yao, na katika mioyo yao nitaiandika; nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.


mnadhihirishwa kwamba mmekuwa barua ya Kristo tuliyoiandaa, iliyoandikwa si kwa wino, bali kwa Roho wa Mungu aliye hai; si katika vibao vya mawe, ila katika vibao ambavyo ni mioyo ya nyama.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo