Walawi 18:5 - Swahili Revised Union Version5 Kwa ajili ya hayo mtazishika amri zangu na maagizo yangu yeyote atakayefanya hivyo ataishi; mimi ndimi BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Kwa hiyo, ili mtu apate kuyaokoa maisha, mnapaswa kuyashika masharti yangu na maagizo yangu. Mimi ndimi Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Kwa hiyo, ili mtu apate kuyaokoa maisha, mnapaswa kuyashika masharti yangu na maagizo yangu. Mimi ndimi Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Kwa hiyo, ili mtu apate kuyaokoa maisha, mnapaswa kuyashika masharti yangu na maagizo yangu. Mimi ndimi Mwenyezi-Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Zishikeni amri zangu na sheria zangu, kwa maana mtu anayezitii ataishi kwa hizo. Mimi ndimi Mwenyezi Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Zishikeni amri zangu na sheria zangu, kwa maana mtu anayezitii ataishi kwa hizo. Mimi ndimi bwana. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI5 Kwa ajili ya hayo mtazishika amri zangu na maagizo yangu; yeyote atakayefanya hivyo ataishi; mimi ndimi BWANA. Tazama sura |