Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 7:14 - Swahili Revised Union Version

Kwangu ziko sadaka za amani; Leo hivi nimeziondoa nadhiri zangu;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Ilinilazimu kutoa tambiko zangu; leo hii nimekamilisha nadhiri yangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Ilinilazimu kutoa tambiko zangu; leo hii nimekamilisha nadhiri yangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Ilinilazimu kutoa tambiko zangu; leo hii nimekamilisha nadhiri yangu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Nina sadaka za amani nyumbani; leo nimetimiza nadhiri zangu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Nina sadaka za amani nyumbani; leo nimetimiza nadhiri zangu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwangu ziko sadaka za amani; Leo hivi nimeziondoa nadhiri zangu;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 7:14
11 Marejeleo ya Msalaba  

Sadaka ya mtu mbaya ni chukizo kwa BWANA; Bali maombi ya mtu mnyofu ni furaha yake.


Afadhali mego kavu pamoja na utulivu, Kuliko nyumba yenye karamu nyingi pamoja na magomvi.


Sadaka ya wasio haki ni chukizo; Si zaidi sana ailetapo mwenye nia mbaya!


Ndiyo maana nikatoka nikulaki, Nikutafute uso wako kwa bidii, nami nimekuona.


Msilete tena matoleo ya ubatili; uvumba ni chukizo kwangu; mwezi mwandamo na sabato, kuita makutano; siyawezi maovu hayo na makutano ya ibada.


Na sheria ya matoleo ya sadaka za amani, atakazosongeza mtu kwa BWANA, ni hii.


Kisha wakamchukua Yesu kutoka kwa Kayafa mpaka Praitorio, nayo ikawa alfajiri; lakini wao wenyewe hawakuingia ndani ya ile Praitorio, wasije wakanajisika, bali wapate kuila Pasaka.