Walawi 7:11 - Swahili Revised Union Version11 Na sheria ya matoleo ya sadaka za amani, atakazosongeza mtu kwa BWANA, ni hii. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 “Ufuatao ni mwongozo wa ibada kuhusu sadaka za amani ambazo mtu aweza kumtolea Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 “Ufuatao ni mwongozo wa ibada kuhusu sadaka za amani ambazo mtu aweza kumtolea Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 “Ufuatao ni mwongozo wa ibada kuhusu sadaka za amani ambazo mtu aweza kumtolea Mwenyezi-Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 “ ‘Haya ndio masharti kwa ajili ya sadaka ya amani ambayo mtu aweza kuileta kwa Mwenyezi Mungu: Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 “ ‘Haya ndiyo masharti kwa ajili ya sadaka ya amani ambayo mtu aweza kuileta kwa bwana: Tazama suraBIBLIA KISWAHILI11 Na sheria ya matoleo ya sadaka za amani, atakazosongeza mtu kwa BWANA, ni hii. Tazama sura |