Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 7:14 - Swahili Revised Union Version

14 Kwangu ziko sadaka za amani; Leo hivi nimeziondoa nadhiri zangu;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 “Ilinilazimu kutoa tambiko zangu; leo hii nimekamilisha nadhiri yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 “Ilinilazimu kutoa tambiko zangu; leo hii nimekamilisha nadhiri yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 “Ilinilazimu kutoa tambiko zangu; leo hii nimekamilisha nadhiri yangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 “Nina sadaka za amani nyumbani; leo nimetimiza nadhiri zangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 “Nina sadaka za amani nyumbani; leo nimetimiza nadhiri zangu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

14 Kwangu ziko sadaka za amani; Leo hivi nimeziondoa nadhiri zangu;

Tazama sura Nakili




Methali 7:14
11 Marejeleo ya Msalaba  

Sadaka ya mtu mbaya ni chukizo kwa BWANA; Bali maombi ya mtu mnyofu ni furaha yake.


Afadhali mego kavu pamoja na utulivu, Kuliko nyumba yenye karamu nyingi pamoja na magomvi.


Sadaka ya wasio haki ni chukizo; Si zaidi sana ailetapo mwenye nia mbaya!


Ndiyo maana nikatoka nikulaki, Nikutafute uso wako kwa bidii, nami nimekuona.


Msilete tena matoleo ya ubatili; uvumba ni chukizo kwangu; mwezi mwandamo na sabato, kuita makutano; siyawezi maovu hayo na makutano ya ibada.


Na sheria ya matoleo ya sadaka za amani, atakazosongeza mtu kwa BWANA, ni hii.


Kisha wakamchukua Yesu kutoka kwa Kayafa mpaka Praitorio, nayo ikawa alfajiri; lakini wao wenyewe hawakuingia ndani ya ile Praitorio, wasije wakanajisika, bali wapate kuila Pasaka.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo