Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 7:13 - Swahili Revised Union Version

Basi akamshika, akambusu, Akamwambia kwa uso usio na haya,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Alimkumbatia kijana huyo na kumbusu, na kwa maneno matamu, akamwambia:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Alimkumbatia kijana huyo na kumbusu, na kwa maneno matamu, akamwambia:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Alimkumbatia kijana huyo na kumbusu, na kwa maneno matamu, akamwambia:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Huyo mwanamke alimkumbatia kijana na kumbusu, na kwa uso usio na haya akamwambia:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Huyo mwanamke alimkumbatia kijana na kumbusu, na kwa uso usio na haya akamwambia:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi akamshika, akambusu, Akamwambia kwa uso usio na haya,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 7:13
14 Marejeleo ya Msalaba  

huyo mwanamke akamshika nguo zake, akisema, Lala nami. Yusufu akaiacha nguo yake mkononi mwake, akakimbia, akatoka nje.


Ikawa baada ya mambo hayo, mke wa bwana wake akamtamani Yusufu, akamwambia, Lala nami.


Kwa maana wanaiotea nafsi yangu; Wenye nguvu wamepanga kunishambulia; Ee BWANA, si kwa kosa langu, Wala si kwa hatia yangu.


Asiye haki huufanya uso wake kuwa mgumu; Bali mtu mnyofu huzifikiri njia zake.


Apate kuwaita wapitao njiani, Waendao moja kwa moja katika njia zao.


Maana Bwana MUNGU atanisaidia; kwa sababu hiyo sikutahayari, kwa sababu hiyo nimekaza uso wangu kama jiwe, nami najua ya kuwa sitaona haya.


Watu huwapa makahaba wote zawadi, bali wewe unawapa wapenzi wako wote zawadi zako, na kuwapa rushwa ili waje kwako pande zote, kwa ajili ya mambo yako ya kikahaba.


Na wana hao wana nyuso zisizo na haya, na mioyo yao ni migumu. Mimi nakutuma kwa hao; nawe utawaambia, Bwana MUNGU asema hivi.


Na wewe, mwanadamu, usiwaogope hao, wala usiyaogope maneno yao, ijapokuwa miiba na michongoma inakuzunguka, nawe unakaa katikati ya nge; usiyaogope maneno yao, wala usifadhaike kwa sababu ya nyuso zao, wajapokuwa ni nyumba yenye kuasi.


Basi Israeli akakaa Shitimu, kisha watu wakaanza kuzini pamoja na wanawake wa Moabu;


Tazama, hawa ndio waliowakosesha wana wa Israeli, kwa shauri la Balaamu, wamfanyie BWANA dhambi katika hilo jambo la Peori, na kwa hiyo pigo lilikuwa katika mkutano wa BWANA.


Lakini nina neno juu yako, ya kwamba wamridhia yule mwanamke Yezebeli, yeye ajiitaye nabii na kuwafundisha watumishi wangu na kuwapoteza, ili wazini na kula vitu vilivyotolewa sadaka kwa sanamu.