Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 21:29 - Swahili Revised Union Version

29 Asiye haki huufanya uso wake kuwa mgumu; Bali mtu mnyofu huzifikiri njia zake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

29 Mtu mwovu hujionesha kuwa jasiri, lakini mwadilifu huhakikisha ametenda sawa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

29 Mtu mwovu hujionesha kuwa jasiri, lakini mwadilifu huhakikisha ametenda sawa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

29 Mtu mwovu hujionesha kuwa jasiri, lakini mwadilifu huhakikisha ametenda sawa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

29 Mtu mwovu ana uso wa ushupavu, bali mtu mnyofu huzifikiria njia zake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

29 Mtu mwovu ana uso wa ushupavu, bali mtu mnyofu huzifikiria njia zake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

29 Asiye haki huufanya uso wake kuwa mgumu; Bali mtu mnyofu huzifikiri njia zake.

Tazama sura Nakili




Methali 21:29
20 Marejeleo ya Msalaba  

Ningependa njia zangu ziwe thabiti, Nizitii amri zako.


Ninapozitafakari njia zako, Naielekeza miguu yangu kwa shuhuda zako.


Haki yake mtu mkamilifu itamwongoza njia yake; Bali mtu mwovu ataanguka kwa uovu wake.


Mwanadamu mwenye kicho yu heri sikuzote; Bali mshupavu wa moyo ataangukia madhara.


Aonywaye mara nyingi akishupaza shingo, Atavunjika ghafla, wala hapati dawa.


Macho yako yatazame mbele, Na kope zako zitazame mbele yako sawasawa.


Ulisawazishe pito la mguu wako, Na njia zako zote zithibitike;


Basi akamshika, akambusu, Akamwambia kwa uso usio na haya,


Ni nani aliye kama mwenye hekima; Naye ni nani ajuaye kufasiri neno? Hekima ya mtu humwangaza uso wake, Na ugumu wa uso wake hubadilika.


Ee BWANA, macho yako je! Hayaangalii uaminifu? Umewapiga, lakini hawakuhuzunika; umewakomesha, lakini wamekataa kurudiwa wamefanya nyuso zao kuwa ngumu kuliko mwamba wamekataa kurudi.


Je! Waliona aibu, walipokuwa wametenda machukizo? La! Hawakuona aibu kabisa, wala hawakuweza kuona haya usoni; basi wataanguka miongoni mwao waangukao; wakati wa kujiliwa kwao wataangushwa chini, asema BWANA.


Kwa sababu atafakari, na kughairi, na kuyaacha makosa yake yote aliyoyatenda, hakika ataishi, hatakufa.


Basi sasa, BWANA wa majeshi asema hivi, Zitafakarini njia zenu.


BWANA wa majeshi asema hivi, Zitafakarini njia zenu.


Na sasa nawaomba, tafakarini; tangu siku hii na siku zilizopita; kabla jiwe halijatiwa juu ya jiwe katika nyumba ya BWANA;


Basi Mungu mwenyewe, Baba yetu, na Bwana wetu Yesu, atuongoze njia yetu tufike kwenu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo