Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 6:33 - Swahili Revised Union Version

Atapata jeraha na kuvunjiwa heshima; Wala fedheha yake haitafutika.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Atapata majeraha na madharau; fedheha atakayopata haitamtoka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Atapata majeraha na madharau; fedheha atakayopata haitamtoka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Atapata majeraha na madharau; fedheha atakayopata haitamtoka.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mapigo na aibu ni fungu lake na aibu yake haitafutika kamwe;

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mapigo na aibu ni fungu lake na aibu yake haitafutika kamwe;

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Atapata jeraha na kuvunjiwa heshima; Wala fedheha yake haitafutika.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 6:33
11 Marejeleo ya Msalaba  

Umekuwa kama maji yavukavyo mpaka, basi nawe hutafana tena, Kwa sababu ulikipanda kitanda cha baba yako, Ukakitia unajisi; alikipandia kitanda changu.


kwa sababu Daudi alifanya yaliyo mema machoni pa BWANA, wala hakukosa katika yote aliyomwamuru, siku zote za maisha yake, isipokuwa kuhusu Uria, Mhiti.


Je! Sulemani, mwana wa Daudi, hakufanya dhambi kwa kutenda hayo? Lakini katika mataifa mengi hapakuwa na mfalme mwingine mfano wake. Tena alipendwa na Mungu wake, naye Mungu akamfanya mfalme juu ya Israeli; lakini wanawake wageni walimkosesha hata yeye.


Ee Mungu, unirehemu, kulingana na fadhili zako. Kiasi cha wingi wa rehema zako, Uyafute makosa yangu.


Unifanye kusikia furaha na shangwe, Mifupa uliyoiponda ifurahi.


Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.


Maana wivu ni ghadhabu ya mtu; Wala hatahurumia siku ya kujilipizia kisasi.


Yese akamzaa mfalme Daudi. Daudi akamzaa Sulemani kwa yule mke wa Uria;