Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 6:2 - Swahili Revised Union Version

Basi umetegwa kwa maneno ya kinywa chako, Umekamatwa kwa maneno ya kinywa chako,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

umejibana kwa maneno yako mwenyewe, umejinasa kwa ahadi uliyofanya.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

umejibana kwa maneno yako mwenyewe, umejinasa kwa ahadi uliyofanya.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

umejibana kwa maneno yako mwenyewe, umejinasa kwa ahadi uliyofanya.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

kama umetegwa na ulichosema, umenaswa kwa maneno ya kinywa chako,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

kama umetegwa na ulichosema, umenaswa kwa maneno ya kinywa chako,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi umetegwa kwa maneno ya kinywa chako, Umekamatwa kwa maneno ya kinywa chako,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 6:2
5 Marejeleo ya Msalaba  

Katika kosa la midomo kuna mtego kwa mbaya; Bali mwenye haki atatoka katika taabu.


Kinywa cha mpumbavu ni uharibifu wake, Na midomo yake ni mtego wa nafsi yake.


Mwanangu, kama umekuwa mdhamini wa rafiki yako, Ikiwa wewe na mgeni mmepeana mikono,


Sasa, mwanangu, fanya hivi ukajiokoe, Kwa kuwa umejitia mkononi mwa jirani yako; Nenda ukanyenyekee, na kumsihi jirani yako.


Sanamu za kuchonga za miungu yao mtaziteketeza kwa moto; usitamani fedha wala dhahabu iliyo juu yao, wala usiitwae iwe yako usije ukanaswa nayo; kwa maana ni machukizo kwa BWANA, Mungu wako;