Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 6:13 - Swahili Revised Union Version

Hukonyeza kwa macho, hunena kwa miguu, Huwaashiria watu kwa vidole vyake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hukonyeza jicho kuwakosesha wengine, huparuza kwa nyayo, na kuashiria watu kwa vidole.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hukonyeza jicho kuwakosesha wengine, huparuza kwa nyayo, na kuashiria watu kwa vidole.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hukonyeza jicho kuwakosesha wengine, huparuza kwa nyayo, na kuashiria watu kwa vidole.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

ambaye anakonyeza kwa jicho lake, anayetoa ishara kwa miguu yake na kuashiria kwa vidole vyake,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

ambaye anakonyeza kwa jicho lake, anayetoa ishara kwa miguu yake na kuashiria kwa vidole vyake,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hukonyeza kwa macho, hunena kwa miguu, Huwaashiria watu kwa vidole vyake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 6:13
6 Marejeleo ya Msalaba  

Mbona moyo wako unakutaharakisha! Na macho yako, je! Kwa nini yaangae?


Sitaweka mbele ya macho yangu Neno la uovu. Kazi yao waliopotoka naichukia, Haitaambatana nami.


Walio adui zangu bure wasinisimange, Wanaonichukia bila sababu wasining'ong'e.


Akonyezaye kwa jicho huleta masikitiko; Bali mpumbavu mwenye maneno mengi ataanguka.


Hata asiweze kuiona njia sawa ya uzima; Njia zake ni za kutangatanga wala hana habari.


Ndipo utaita, na BWANA ataitika; utalia, naye atasema, Mimi hapa. Kama ukiiondoa nira; isiwepo kati yako, wala kunyosha kidole, wala kunena maovu;