Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 5:16 - Swahili Revised Union Version

Je! Chemchemi zako zitawanyike mbali, Na mito ya maji katika njia kuu?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ya nini chemchemi zako zitawanywe mbali, na vijito vya maji barabarani?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ya nini chemchemi zako zitawanywe mbali, na vijito vya maji barabarani?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ya nini chemchemi zako zitawanywe mbali, na vijito vya maji barabarani?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Je, chemchemi zako zifurike katika barabara za mji na vijito vyako vya maji viwanjani?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Je, chemchemi zako zifurike katika barabara za mji na vijito vyako vya maji viwanjani?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Je! Chemchemi zako zitawanyike mbali, Na mito ya maji katika njia kuu?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 5:16
13 Marejeleo ya Msalaba  

Wakambariki Rebeka, wakamwambia, Dada yetu, wewe uwe mama wa elfu kumi, mara elfu nyingi, na wazao wako waurithi mlango wa hao wawachukiao.


Tazama, watoto ni urithi kutoka kwa BWANA, Uzao wa tumbo ni thawabu.


Mkeo atakuwa kama mzabibu uzaao, Katika nyumba yako. Wanao watakuwa kama miche ya mizeituni Wakiizunguka meza yako.


Mhimidini Mungu katika mikutano, Bwana katika makusanyiko ya Israeli.


Unywe maji ya tangi lako mwenyewe, Na maji yenye kububujika katika kisima chako.


Yawe yako mwenyewe peke yako, Wala si ya wageni pamoja nawe.


Chemchemi yako ibarikiwe; Nawe umfurahie mke wa ujana wako.


Maji yaliyoibiwa ni matamu, Na mkate ulioliwa kwa siri hupendeza.


Bustani iliyofungwa ni dada yangu, bibi arusi, Kijito kilichofungwa, chemchemi iliyotiwa mhuri.


Wewe ndiwe chemchemi ya bustani yangu, Kisima cha maji yaliyo hai, Vijito vya Lebanoni viendavyo kasi.


Wala hawakuona kiu alipowaongoza jangwani; Alitoa maji katika mwamba kwa ajili yao; Pia akaupasua mwamba, maji yakatoka kwa nguvu.


Na Israeli anakaa salama, Chemchemi ya Yakobo peke yake, Katika nchi ya ngano na divai; Naam, mbingu zake zadondoza umande.


Alikuwa na watoto thelathini wa kiume; na binti thelathini aliwaoza nje ya ukoo wake, kisha akaleta wanawake thelathini kutoka mahali pengine kwa ajili ya hao wanawe. Akawa mwamuzi wa Israeli muda wa miaka saba.