Isaya 48:21 - Swahili Revised Union Version21 Wala hawakuona kiu alipowaongoza jangwani; Alitoa maji katika mwamba kwa ajili yao; Pia akaupasua mwamba, maji yakatoka kwa nguvu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema21 Alipowaongoza jangwani hawakuona kiu, aliwatiririshia maji kutoka mwambani, aliupasua mwamba maji yakabubujika. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND21 Alipowaongoza jangwani hawakuona kiu, aliwatiririshia maji kutoka mwambani, aliupasua mwamba maji yakabubujika. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza21 Alipowaongoza jangwani hawakuona kiu, aliwatiririshia maji kutoka mwambani, aliupasua mwamba maji yakabubujika. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu21 Hawakuona kiu alipowaongoza kupita jangwani; alifanya maji yatiririke kutoka mwamba kwa ajili yao; akapasua mwamba na maji yakatoka kwa nguvu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu21 Hawakuona kiu alipowaongoza kupita jangwani; alifanya maji yatiririke kutoka kwenye mwamba kwa ajili yao; akapasua mwamba na maji yakatoka kwa nguvu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI21 Wala hawakuona kiu alipowaongoza jangwani; Alitoa maji katika mwamba kwa ajili yao; Pia akaupasua mwamba, maji yakatoka kwa nguvu. Tazama sura |