Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 4:15 - Swahili Revised Union Version

Jiepushe nayo, usipite karibu nayo, Igeukie mbali, ukaende zako.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Iepe njia hiyo wala usiikaribie; jiepushe nayo, uende zako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Iepe njia hiyo wala usiikaribie; jiepushe nayo, uende zako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Iepe njia hiyo wala usiikaribie; jiepushe nayo, uende zako.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Epukana nayo, usisafiri katika njia hiyo; achana nayo, na uelekee njia yako.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Epukana nayo, usisafiri katika njia hiyo; achana nayo, na uelekee njia yako.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Jiepushe nayo, usipite karibu nayo, Igeukie mbali, ukaende zako.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 4:15
12 Marejeleo ya Msalaba  

Ikiwa una uovu mkononi mwako, uweke mbali nawe, Wala usikubali upuzi kukaa hemani mwako;


Ukimrudia Mwenyezi, utajengwa; Ukiuondoa udhalimu mbali na hema yako.


Jitenge mbali na neno la uongo; wala wasio hatia na wenye haki usiwaue; kwa kuwa mimi sitamhesabia haki yeye aliye mwovu.


Mwanangu, usiende njiani pamoja nao; Uzuie mguu wako usiende katika mapito yao.


Usiwawaonee wivu watu waovu, Wala usitamani kuwa pamoja nao;


Usiingie katika njia ya waovu, Wala usitembee katika njia ya wabaya.


Maana hawalali isipokuwa wametenda madhara; Huondolewa usingizi, ikiwa hawakumwangusha mtu.


Itenge njia yako mbali naye, Wala usiukaribie mlango wa nyumba yake.


Ujiponye kama paa na mkono wa mwindaji, Na kama ndege katika mkono wa mtega mitego.


Ni yeye aendaye kwa haki, anenaye maneno ya adili; ni yeye anayedharau faida ipatikanayo kwa dhuluma; akung'utaye mikono yake asipokee rushwa; azibaye masikio yake asisikie habari za umwagaji wa damu; afumbaye macho yake asitazame uovu.


Wala msishirikiane na matendo yasiyozaa ya giza, bali myakemee;


jitengeni na ubaya wa kila namna.