Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 30:5 - Swahili Revised Union Version

Kila neno la Mungu limehakikishwa; Yeye ni ngao yao wamwaminio.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Maneno yote ya Mungu ni ya kuaminika; yeye ni ngao yao wote wanaomkimbilia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Maneno yote ya Mungu ni ya kuaminika; yeye ni ngao yao wote wanaomkimbilia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Maneno yote ya Mungu ni ya kuaminika; yeye ni ngao yao wote wanaomkimbilia.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Kila neno la Mungu ni kamilifu; yeye ni ngao kwa wale wanaomkimbilia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Kila neno la Mungu ni kamilifu; yeye ni ngao kwa wale wanaomkimbilia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kila neno la Mungu limehakikishwa; Yeye ni ngao yao wamwaminio.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 30:5
17 Marejeleo ya Msalaba  

Baada ya mambo hayo neno la BWANA likamjia Abramu katika njozi, likinena, Usiogope, Abramu, Mimi ni ngao yako, na thawabu yako itakuwa kubwa sana.


Mungu njia yake ni kamilifu; Ahadi ya BWANA imehakikishwa; Yeye ndiye ngao yao Wote wanaomkimbilia.


Neno lako limesafika sana, Kwa hiyo mtumishi wako amelipenda.


Maneno ya BWANA ni maneno safi, Ni fedha iliyojaribiwa kalibuni juu ya nchi; Iliyosafishwa mara saba.


Mwamba wangu na ngome yangu, Nguzo yangu na mwokozi wangu Ngao yangu ninayemkimbilia, Huwatiisha watu wangu chini yangu.


BWANA ni jabali langu, na boma langu, na mwokozi wangu, Mungu wangu, mwamba wangu ninayemkimbilia, Ngao yangu, na pembe ya wokovu wangu, na ngome yangu.


Mungu, njia yake ni kamilifu, Ahadi ya BWANA imehakikishwa, Yeye ndiye ngao yao. Wote wanaomkimbilia.


Maana ni nani aliye Mungu ila BWANA? Ni nani aliye mwamba ila Mungu wetu?


Maagizo ya BWANA ni ya adili, Huufurahisha moyo. Amri ya BWANA ni safi, Huyatia macho nuru.


Lakini Wewe, BWANA, U ngao yangu pande zote, Utukufu wangu na mwinua kichwa changu.


Kwa kuwa BWANA, Mungu, ni jua na ngao, BWANA atatoa neema na utukufu. Hatawanyima kitu chema Hao waendao kwa ukamilifu.


Atasema, BWANA ndiye kimbilio langu na ngome yangu, Mungu wangu nitakayemtumaini.


Huwawekea wanyofu akiba ya hekima kamili; Yeye ni ngao kwao waendao kwa ukamilifu;


Kuwaogopa wanadamu huleta mtego; Bali amtumainiye BWANA atakuwa salama.


Basi torati ni takatifu, na ile amri ni takatifu, na ya haki, na njema.


Lakini hekima itokayo juu, kwanza ni safi, tena ni ya amani, ya upole, tayari kusikiliza maneno ya watu, imejaa rehema na matunda mema, haina fitina, haina unafiki.