2 Samueli 22:31 - Swahili Revised Union Version31 Mungu njia yake ni kamilifu; Ahadi ya BWANA imehakikishwa; Yeye ndiye ngao yao Wote wanaomkimbilia. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema31 Anachofanya Mungu hakina dosari! Ahadi ya Mwenyezi-Mungu ni ya kuaminika; yeye ni ngao kwa wote wanaomkimbilia. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND31 Anachofanya Mungu hakina dosari! Ahadi ya Mwenyezi-Mungu ni ya kuaminika; yeye ni ngao kwa wote wanaomkimbilia. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza31 Anachofanya Mungu hakina dosari! Ahadi ya Mwenyezi-Mungu ni ya kuaminika; yeye ni ngao kwa wote wanaomkimbilia. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu31 “Kuhusu Mungu, njia yake ni kamilifu; neno la Mwenyezi Mungu halina dosari. Yeye ni ngao kwa wote wanaokimbilia kwake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu31 “Kuhusu Mungu, njia yake ni kamilifu; neno la bwana halina dosari. Yeye ni ngao kwa wote wanaokimbilia kwake. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI31 Mungu njia yake ni kamilifu; Ahadi ya BWANA imehakikishwa; Yeye ndiye ngao yao Wote wanaomkimbilia. Tazama sura |