Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 30:22 - Swahili Revised Union Version

Mtumwa apatapo kuwa mfalme; Mpumbavu ashibapo chakula;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mtumwa anayekuwa mfalme; mpumbavu anayeshiba chakula;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mtumwa anayekuwa mfalme; mpumbavu anayeshiba chakula;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

mtumwa anayekuwa mfalme; mpumbavu anayeshiba chakula;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

mtumwa anapokuwa mfalme, mpumbavu anaposhiba chakula,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mtumwa awapo mfalme, mpumbavu ashibapo chakula,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mtumwa apatapo kuwa mfalme; Mpumbavu ashibapo chakula;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 30:22
12 Marejeleo ya Msalaba  

Maisha ya anasa hayampasi mpumbavu; Sembuse mtumwa awatawale wakuu.


Mtu mhitaji awaoneaye maskini, Ni kama mvua ya dhoruba isiyosaza chakula.


Kwa ajili ya mambo matatu nchi hutetemeka, Naam, kwa ajili ya manne haiwezi kuvumilia.


Mwanamke mwenye kuchukiza aolewapo; Na mjakazi aliye mrithi wa bibi yake.


Mimi nimeona watumwa wamepanda farasi, na wakuu wakienda kwa miguu juu ya nchi kama watumwa.


Na huko Maoni kulikuwa na mtu mmoja, ambaye alikuwa na mali yake katika Karmeli; naye yule mtu alikuwa tajiri sana, mwenye kondoo elfu tatu na mbuzi elfu moja; naye alikuwa akiwakata manyoya kondoo wake huko Karmeli.


Nakusihi, bwana wangu, wewe usimwangalie huyu mtu asiyefaa, yaani Nabali; kwa maana kama lilivyo jina lake ndivyo alivyo yeye; jina lake ndilo Nabali, na upumbavu anao; lakini mimi, mjakazi wako, sikuwaona hao vijana wa bwana wangu aliowatuma.


Na jina la mtu huyo aliitwa Nabali; na jina la mkewe aliitwa Abigaili, na huyo mwanamke alikuwa mwenye akili njema, mzuri wa uso; bali yule mwanamume alikuwa mkosa adabu na mwovu; naye alikuwa wa ukoo wa Kalebu.


Na hapo alipokuwa amewaongoza chini, tazama, hao walikuwa wametawanyika juu ya nchi yote, wakila na kunywa, na kufanya karamu, kwa sababu ya hizo nyara kubwa walizochukua katika nchi ya Wafilisti, na katika nchi ya Yuda.