Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 30:21 - Swahili Revised Union Version

21 Kwa ajili ya mambo matatu nchi hutetemeka, Naam, kwa ajili ya manne haiwezi kuvumilia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Kuna mambo matatu ambayo huitetemesha dunia, naam, mambo manne ambayo haiwezi kuyastahimili:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Kuna mambo matatu ambayo huitetemesha dunia, naam, mambo manne ambayo haiwezi kuyastahimili:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Kuna mambo matatu ambayo huitetemesha dunia, naam, mambo manne ambayo haiwezi kuyastahimili:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 “Kwa mambo matatu nchi hutetemeka, naam, kwa mambo manne haiwezi kuvumilia:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 “Kwa mambo matatu nchi hutetemeka, naam, kwa mambo manne haiwezi kuvumilia:

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

21 Kwa ajili ya mambo matatu nchi hutetemeka, Naam, kwa ajili ya manne haiwezi kuvumilia.

Tazama sura Nakili




Methali 30:21
5 Marejeleo ya Msalaba  

Maisha ya anasa hayampasi mpumbavu; Sembuse mtumwa awatawale wakuu.


Mruba anao binti wawili, Waliao, Nipe! Nipe! Kuna vitu vitatu visivyoshiba kamwe, Naam, vinne visivyosema, Basi!


Hivyo ndivyo mwendo wa mwanamke mzinifu; Hula, akapangusa kinywa chake, Akasema, Sikufanya uovu.


Mtumwa apatapo kuwa mfalme; Mpumbavu ashibapo chakula;


Kuna vitu sita anavyovichukia BWANA; Naam, viko saba vilivyo chukizo kwake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo