Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 3:25 - Swahili Revised Union Version

Usiogope hofu ya ghafla, Wala uharibifu wa waovu utakapofika.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Usiogope juu ya tishio la ghafla, wala shambulio kutoka kwa waovu,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Usiogope juu ya tishio la ghafla, wala shambulio kutoka kwa waovu,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Usiogope juu ya tishio la ghafla, wala shambulio kutoka kwa waovu,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Usiogope maafa ya ghafula au maangamizi yanayowapata waovu,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Usiogope maafa ya ghafula au maangamizi yanayowapata waovu,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Usiogope hofu ya ghafla, Wala uharibifu wa waovu utakapofika.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 3:25
22 Marejeleo ya Msalaba  

Hataogopa habari mbaya; Moyo wake u imara ukimtumainia BWANA.


Namna gani wameangamizwa punde! Wakafutiliwa mbali kwa vitisho.


Hutaogopa hatari za usiku, Wala mshale urukao mchana,


Hofu yenu ifikapo kama tufani, Na msiba wenu ufikapo kama kisulisuli, Dhiki na taabu zitakapowafikia.


Utathibitika katika haki; utakuwa mbali na kuonewa, kwa maana hutaogopa; na mbali na hofu, kwa maana haitakukaribia.


Bali wataketi kila mtu chini ya mzabibu wake, na chini ya mtini wake; wala hapana mtu atakayewatia hofu; kwa kuwa kinywa cha BWANA wa majeshi kimesema hivi.


Nami nitapiga kambi yangu pande zote za nyumba yangu ili kuwapinga adui, mtu awaye yote asipite ndani yake wala kurudi; wala mtu aoneaye hatapita tena kati yao; kwa maana sasa nimeona kwa macho yangu.


Basi hapo mtakapoliona chukizo la uharibifu, lile lililonenwa na nabii Danieli, limesimama katika patakatifu (asomaye na afahamu),


Nanyi mtasikia habari za vita na tetesi za vita; angalieni, msitishwe; maana hayo hayana budi kutukia; lakini ule mwisho bado.


Akawaambia, Mbona mmekuwa waoga? Hamna imani bado?


Nanyi mtakaposikia habari za vita na fitina, msitishwe; maana, hayo hayana budi kutukia kwanza, lakini ule mwisho hauji upesi.


Msifadhaike mioyoni mwenu; mnamwamini Mungu, niaminini na mimi.


Lakini hata mkiteswa kwa sababu ya kutenda haki, mna heri. Msiogope kutisha kwao, wala msifadhaike; bali mtakaseni Kristo Bwana mioyoni mwenu.